Nyie ndio wale watu wanasemaga bila goti lile lilikua goli......hivyo vipaji halisi na uzalendo unavyozungumzia ni vipi...
Hakuna cha kipaji wala kocha mfumo wetu ni kama wa siasa tu, yanayotokea kwenye siasa ndio hayo hayo kwenye mambo mengine yakiwemo michezo.Kipaji anamaanisha nini? Kichuya hana kipaji,Fei toto hana kipaji,Yondani wala Beno Kakolanya ,Ajibu hawana vipaji? Nashauri utengue kauli
kwa tanzania yeye ni wa kipekee lazma tutambue uwepo wake....kwan wao genk kumnunua ni wajinga?Samatta is overrated
Huku kila mtu mjuaji ,msomi na mchambuzi watakuumiza kichwa mkuukwa tanzania yeye ni wa kipekee lazma tutambue uwepo wake....kwan wao genk kumnunua ni wajinga?
everton kumuitaj ni wajinga?....kizuri kinajiuza bwana....ina maana waliompa tuzo ya mchezaj bora africa wao ni wajinga?......au mkuu ww ni mtaalamu sana kuliko wao kwny kuchagua wachezaj bora?
kazi yake ni kufunga....kwan wewe ulitaka kiwango gani mkuu?...achambue watu kama messi au?Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
mkuu kushinda magoli mengi kwa kichwa ni sifa nzuri pia kwa mshambuliji lakini mbona wewe unaifanya iwe ni sifa mbaya tena?....nisaidie mkuu ulitaka aweje?Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
Mpira wa jana tena (Tanzania 2; Cape Verde 0) kabahatisha. Duh Mungu anampendelea sanaNimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
Kila tukio linatokea kwa kusudi.Samata aliniudhi a!ivyopiga ile penalty kwa madoido,wakati tulihitaji ushindi kwa lazima.
Kama mpira bahati, mtoa mada ajaribu na yeye kucheza!Uchambuzi wa kihuni kabisa huu! Unashindwaje kumkubali mtu anayefanya vizuri! Hakuna cha bahati hapo! Ni bidii tu. Jifunze kukubali ukweli.
Naomba kujua jinsia ya mtoa mada! Kuna baadhi ya mada kujua jinsia ya mwanzisha Uzi ni muhimu!mleta uzi ana wivu wa kike
Kumbe Samatta alishakutana na Henry! Bravo.Thienry Henry alimpa options mbili acheze kwa kuwakimbia mabeki au kwa kuwakabili, ameamua kuwakimbia na kupachika mabao, hayo mambo yamepangwa sio bahati, bahati kila siku!
UHAMIAJI wachunguze uraia wa Mleta UziMpira wa jana tena (Tanzania 2; Cape Verde 0) kabahatisha. Duh Mungu anampendelea sana
Kutengeneza nafasi kubwa na ya akili na juhudi kama ile ya goli la kwanza alilofunga Msuva na ushirikiano wake wa akili za haraka haraka pale mbele na Mudathir, lile shuti la mita 16 lisilo la kwaida lililosababisha goli la pili, zote hizo kabahatisha
Tatizo la watanzia ndo hilo ..sasa mara unasema anatakiwa afunge mara unasema hatish kwa mabek..me naona kiongoz ungevaa wewe jezi ya samata alafu ukarekebisha makosa yake kma unaona mpira ni rahisi kama kuandika uzi mrefuNimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.
Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.
Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).
Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.
Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.
Mtu hawezi hata kufanya 0.000001% ya anachofanya Samatta afu bado anamdiss!Tatizo la watanzia ndo hilo ..sasa mara unasema anatakiwa afunge mara unasema hatish kwa mabek..me naona kiongoz ungevaa wewe jezi ya samata alafu ukarekebisha makosa yake kma unaona mpira ni rahisi kama kuandika uzi mrefu
unataka samata awe anafanya nini zaidi ya kufunga? angalia uchezaji wa LUKAKU, HARY KANE, MORATA, na center foward karibia wote duniani yupo ambaye anapiga chenga, anakusanya kijiji, anapiga voley na kuscore? wote hao wanasubiri nafasi ya goli ipatikane wacheke na nyavu, hasa hao niliokutajia hapo. usiforce kila mtu awe messi.
tatizo yeye anataka samata awe na uwezo wa messi, ufungaji wa ronaldo, umilikaji wa mpira kama hazard na madoido ya isco. hakuna center foward wa karne hii mwenye huo uwezo, trust me samata ni world class striker, ndio maana kuna baadhi ya vilabu ENGLAND vimeanza kumnyemeleaJamaa hajui mahitaji ya soka la kisasa! Soka la kisasa wanahitajika mafowad wanaojua kufunga tu! Ruud Va Nisterlooy ktk magoli yote aliofunga United..... ni goli 1 tu alifunga nje ya box!
Me nashangaa sana kusema kweli mtu unashindwa kusaport kaz ya mtz mwenzako unaenda kushabikia akina lukaku kama cyo utumwa ni nini huo..?Mtu hawezi hata kufanya 0.000001% ya anachofanya Samatta afu bado anamdiss!
Everton! West Ham! Alaves! Warusi! Wote wanamuangalia Samatta afu wewe huku Muuza Ice Cream unajiona unamjua sana Samatta!