Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Haya mtoa Mada inavyoonyesha Samatta ameusoma uzi wako basi anazidi kukuumbua anakiwasha daily jana kapiga kipa ambae alidaka fainal ya eufa match ya Madrid vs Liverpool (Karius) kamdungua kama walivyofanya kina Bale tena migoli ya uhakika miwili na assist katoa ya goal moja so katika magoli manne ya jana Europa kahusika matatu halafu huku kwetu kuna mtu anahoji uwezo wake sababu ya chuki zake.
 
Acha wehuuu wew, bangi za mchana
 
Wewe Sijui upo kundi gani... Lakini hao watu waliokupa "like" kwa huu upuuzi ulioandika hapa wapo kwenye kundi la watu wajinga.
 
Kwani team ikicheza inataka chenga, tobo, kanzu au magoli? tuanzie hapa kwanza
 
Hili ni tatizo la kuanza kuangalia mpira ukubwani, kiwango cha samatta kinatisha kaka na ninakuhakikishia muda si mrefu utasikia ameenda premier league

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Umesema kweli. Tatizo la kuangalia mpira ukubwani!

Mbili: Tatizo la kutokuwa na uwezo wa kung'amua mwanasoka na hasa forward, ana sifa gani!

Tatu! Ule ugonjwa wetu wa Taifa! Kutojikubali. Kutowakubali wanaofanikiwa!

Samatta ni level zingine. Basi tu watanzania ni mashabiki wa vitu vya kijinga Kinga lkn Samatta alipaswa kuwa ndio Habari ya Nchi!

Kwa kupenda kwetu ujinga ujinga! Hii wiki yote anavuma punguani aliekula denda mtandaoni!
 
Shughuli waliyokumbana nayo Besiktas

 

Kuufahamu mpira na kucheza nivitu viwili tafauti, Gardiola ni kocha bora lakini hakuwahi kuwa mchezaji bora na hao walikua wachezaji bora ukocha na hata uchambuzi umewashinda. Mimi simchezaji mpira, Lakini kwenye wachezaji mpira huwezi twambia ati Samatta hodari. Kwani Uhodari masihara kwamba mtu yoyote anaweza akawa tu.
Wabongo tuna mapenzi makali sana mpaka tunakua hatuoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…