Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Hizo ni chuki binafsi
 
Waandishi wa habari wameanza kumdadisi Samatta baada ya kuvutia wengi kwenye ufungaji wake wa magoli hasa ile mechi ya Besiktas
Kwanza walifuatilia ada yake ya usajili kutoka TP Mazembe kwenda Genk halafu mshahara wake wakabaki wanaduwaa mfungaji mahiri namna hii analipwa Euro laki 250 kwa mwaka na kahamishwa kwa ada ya euro laki 500 tu

The transfer fee and salary of the Tanzanian striker were even more striking.
In the 2015-16 season, Genk added the colors of the Congo team TP Mazembe to 500 thousand Euros .
Tanzanian football player who can use both feet, 1.80 tall. The transfer fee of the player is 4 million euro
Beşiktaş'ı yıkan adamın maaşı şaşırttı
 
Naona dau linafika yuro 4 M sasa kumtoa Genk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…