Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Binafsi siamini ktk bahati kwani bahati na uchawi ni kaka na dada...naamini ktk bidii,kujituma na ubunifu ili kufikia lengo...Mbwana Samatta anajua na anajituma...frequency ya anachokifanya ndio inasema haya.
 
Umuumbue mara ngapi mkuu??

Sema ni vile tu alishatubu kitambo huyo hater kama alivyo Shafii Dauda aliyetaka kujipatia umaarufu kwa Simba na akafeli
Nlichogundua kwamba hawa wachambuzi mda mwingine bure kabisa,,

Naposema bure ni bureeeeee kabisa.

Leo hii sidhani kama tunahitaji hizi chambuzi za kidwanzi,, technology iko mbali sanaa,, ukiwa na smart phone na bando wala huhitaji ku tune radio et kusikiliza kipindi cha michezo,, labda ndugu zangu walio vjijin sawa,

Shukrani kwa kunikumbusha mkuu kumbe alishatubu.
 


Sure mkuu,alishatubu na Mbwana kila siku anazidi kutupia magoli nyavuni tu,anayejua anajua tu mkuu
 
Sasa hivi media utasikia mchambuzi Wa soka.Wengine ukiwaangalia na kuwasikiliza utabaini wameokoteza maneno vijiweni.Kazi kweli kweli na hii mitandao Utakuta wanachambua ligi ya Uingereza weeee!!Kazi IPO.
 
We unataka mjomba apige chenga nyingi au nn??? Jukumu lake ni kufunga... anafunga.... anajua kuji position afunge.. unataka afe ndo ujue yuko vzuri?? Anaongoza kwa magoli kwenye ligi... kipi kingene unataka kutoka kwake... we utakua hater mjomba.....(kama umewahi kuliona soka la chicharito utamuelewa samata)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…