Katika mojawapo ya profile stats za Mbwana Samata nadhani pale goal.com maeneo mengi alipewa wastan mlakini kwenye eneo la creativity alipewa ranking ya chini. Ilikuwa kati ya 2014/15sijadis mkuu...ukisoma uzi vizuri utagundua kuwa niliousema ni ukweli mtupu...labda tatizo lako ni kuwa huangalii mechi za Genk live sansana unaangalia updates na clips kwa akina Shaffii Dauda na Millard Ayo!.... Jaribu kuangalia mechi za KRC Genk utarudi kunipa tawile!
Acha upumbavu usidanganyike na maisha ya jamii forum .wee ni dogo...hata approaching style yako kwenye uchangiaji inajidhihirisha uchanga!
Soka la Mourinho halipendwi lakin Mourinho mwenyewe anapendwa na anapewa tim kubwa. Mtu anafunga magoli mnasemaje uwezo wake ni wa kawaida sana na anabebwa na bahati?.. Mungu hakupi wala hakunyimi vyote . Sammata ni straika hatar..Licha ya magoli ila mpira ni burudani....nadhani Bado hujajua kwanini Soka la Mourinho Halipendwi japokuwa anapata matokeo mara kwa mara!!
unajua kwanini Lukaku analaumiwa sana,? Ndicho kitamkuta Samatta MbeleniMkuu unajua soka au unaandika tu..
Unamjua thomas Muller?Chicharito? Giroud ? Lukaku? Gabriel Jesus ? Hawa jamaa wana skills gani mbele ya goli hadi wachezee vilabu vikubwa wanavyochezea..
Kwenye soka ukiwa stricker na ukaweza kufunga magoli haijalishi yawe ya mkono ,tumbo ,kichwa au kiuno wewe unajua tu na utapewa nafasi..
Ustricker ni kujua kujiposition tu hayo ma skills wanayo wachache sana wakina messi lakini wengine cha muhimu mpira uingie wavuni..
Ndio kitu SAMAGOAL anachofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Stricker gani hajawahi kulaumiwa mkuu..??unajua kwanini Lukaku analaumiwa sana,? Ndicho kitamkuta Samatta Mbeleni
kaziunayo!!!Unataka afunge tokea hewani?? Unaweza kuua wewe kwa roho yako iyo mbaya..
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi Chalsea ni kubwa kuliko Arsenal?????ukubwa wa klabu unapimwa na mataji ya ligi...timu kubwa England ni Man U,Liverpool na Arsenal tu...nyingine za mpitoStricker gani hajawahi kulaumiwa mkuu..??
Giroud amelaumiwa arsenal lakini ameishia kusajiliwa chelsea moja ya club kubwa duniani.
Suarez mwenyewe akiwa na ukame wa mabao wanaanza kumlaumu..
Mkuu kubali ukatae mastricker siku hizi duniani ni aina ya Samatta kazi yao ni kujiposition na kufunga skills wanazo mawinger na viungo...
Angalia top 10 ya mastricker wakali duniani halafu useme ni nani anaskills za kutisha kiwango cha kuchezea team kubwa..
Kikubwa kwa mastricker hawa ni consistency tu ambayo Samatta anajitahidi sana maana hajawahi kuwa na ukame wa muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wa yeye kuweza kuzitumia hizo nafasi za bahati ndio ufundi wenyewe.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.