balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Fox sport kwenye decoder ipi natanguliza shukranChanel ya Fox sport....sikosagi game ya Genk labda itokee dharula
Sawa,boss in town mwenye roho mbayaAm among of the young Bosses in town!!! Stay away.
Ewe boss uchwaraaa Mpira ni magoli, tandaza boli kama barca au Brazil kama hufungi jua huna timu ndio maana Leo tuna bingwa wa dunia ufaransa na si brazil, croatia au ubelgiji waliokuwa na soka la kitabuni.nafikiri mpaka hapo utakuwa umetambua umuhimu wa magoli ktk soka au vipi boss uchwaraSawa,boss in town mwenye roho mbaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mchawi sio lazima aje makalio wazi.
Hujui kitu zaidi ya roho mbaya na uchawinenda shule kwanza kajifunze kuandika kwa ufasaha ndio uje kubishana huku.....kuandika kwenyewe hujui sijui unadhani huku ni kule "Efubii" kwenu!!!! [emoji23][emoji23][emoji23] OKW BOBAN SUNZU njoo uchukuwe kilaza wako huku mkuu.