Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Sawa,boss in town mwenye roho mbaya
Ewe boss uchwaraaa Mpira ni magoli, tandaza boli kama barca au Brazil kama hufungi jua huna timu ndio maana Leo tuna bingwa wa dunia ufaransa na si brazil, croatia au ubelgiji waliokuwa na soka la kitabuni.nafikiri mpaka hapo utakuwa umetambua umuhimu wa magoli ktk soka au vipi boss uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom