ketone
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 509
- 655
Mpaka sasa sioni tena umuhinu wa Sammata kwa timu ya FC Genk. Kwa mfano jana Genk walishinda bao tatu bila mchango wa Samatta ndani ya uwanja. Kuna jamaa alikuwa ana assit ile mbaya na kufunga vizuri kiasi kwamba huezi mfananisha na mdogo wetu Samatta.
Mechi ile ingine iliyopita Samatta alikuepo ila mchango wake ulikuwa hafifu ndani ya uwanja na timu kupigwa tatu bila. Pia na hata sasa katika Pro league ya Belgium huyu bro wetu hayupo katika safu ya wafungaji bora.
Kwa maneno haya machache ninaamini bado Samuel Etoo, Didier Drogba, George Wear na Nwako Kanu ndio watabakia kuwa wafungaji bora wa Afrika waliowahi tisha Ulaya.
Mechi ile ingine iliyopita Samatta alikuepo ila mchango wake ulikuwa hafifu ndani ya uwanja na timu kupigwa tatu bila. Pia na hata sasa katika Pro league ya Belgium huyu bro wetu hayupo katika safu ya wafungaji bora.
Kwa maneno haya machache ninaamini bado Samuel Etoo, Didier Drogba, George Wear na Nwako Kanu ndio watabakia kuwa wafungaji bora wa Afrika waliowahi tisha Ulaya.