<br />eti asenoo, kwanini isiwe man-u au chesiii
AlikusikiaSamata anatakiwa aondoke kabisa Simba na Tanzania kama anataka kuendelea... Ajaribu kwenda nchi zinazoheshimika kwa kukuza vipaji kama belgium, France
Kwakweli he is a gem na movement zake kama ni darasani tungesema ni mtaalam wa physics ya kufa mtu
the boy is a superstar
Huyu jamaa alikuwa anataka Samatta abaki Bongo, tulijenge kwanza soka letu halafu ndio tumruhusu. In 2011 the weed was really.Hao akina Samatta wapo wengi sana Bongo, na wapo wakali zaidi ya Samatta.
Walivyotokea akina Ngassa nao walisifiwa hivyo hivyo.
Dawa sio kumkimbiza Samatta nje ya nchi, tuanze kwanza kuijenga soka nzima ya Tanzania.
Hio game ilikua na standard liege hio game ilikua hatarLeo katupia 2 tena ktk mechi kubwa na timu yake ikashinda 2bila
Mfumo wa ligi yao tofautiHio game ilikua na standard liege hio game ilikua hatar
Genk kabakiza mechi tatu ili kutangazwa bingwa mpya wa Belgium na kwa ajili ya samata wanaeza enda UEFA CHAMPIONS LIEGE au Ueropa liege ambayo kwa stage alofika ni lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo team sita za juu wana cheza plays of ya kucheza UEFA CL ila ataemaliza juu anachukua ubingwa kakaMfumo wa ligi yao tofauti
Baada ya kumaliza ligi,timu sita za juu zinacheza ligi ndogo,mshindi anapatikana baada ya kuchukua point alizokusanya kwenye ligi hii jumlisha na point za hiyo ligi ndogo.
Kwahiyo wana advantage ya kwamba kama watashinda game zao zote tano zilizobaki basi wataanza ligi ya pro wakiwa na tofauti ya point 9 na mtu wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watabiri wa jf mpo vizuri sanaSamata anatakiwa aondoke kabisa Simba na Tanzania kama anataka kuendelea... Ajaribu kwenda nchi zinazoheshimika kwa kukuza vipaji kama belgium, France
Kwakweli he is a gem na movement zake kama ni darasani tungesema ni mtaalam wa physics ya kufa mtu
the boy is a superstar
Hahah!! Humo humo wanashauriana eti tukitukana tutaonekana maboya
Naona uliweka utabiriAjaribu kwenda nchi zinazoheshimika kwa kukuza vipaji kama belgium,
Hakika usemi umetimiaSamata ni nyota nyingine ya soka ktk Tanzania hii.
Yaani Samata akija kusoma huu Uzi .ataona watu walitabiri makubwa kwakeukweli utakuwa palepale na dogo atapata mafanikio makubwa kimpira na kimaisha tumwombee asimame kiushindani
Mfumo wa ligi yao tofauti
Baada ya kumaliza ligi,timu sita za juu zinacheza ligi ndogo,mshindi anapatikana baada ya kuchukua point alizokusanya kwenye ligi hii jumlisha na point za hiyo ligi ndogo.
Kwahiyo wana advantage ya kwamba kama watashinda game zao zote tano zilizobaki basi wataanza ligi ya pro wakiwa na tofauti ya point 9 na mtu wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app