Mbwembwe nyingiii! Uwanjani hamna kitu

Mbwembwe nyingiii! Uwanjani hamna kitu

Huwa nawashangaa sana watani wa jadi Simba na Yanga, mara zote kabla ya mechi utashuhudia majigambo na mbwembwe nyingiii halafu tunafika uwanjani kwa wingi tunashuhidia mpira wa makaratasi!

Huuu ni ujinga na ushamba wa kizamani, wapenzi wa soka tunataka kuona ufundi wa kusakata kabumbu sio maneno, kila mshabiki anataka kuona improvements kwa timu yake sio kukamiana kijinga......tuache mambo ya kizamani chezeni mpira wa kifundi mashabiki wapate raha.

Kila la heri kwa mnyama.
Uko sahihi
 
Huwa nawashangaa sana watani wa jadi Simba na Yanga, mara zote kabla ya mechi utashuhudia majigambo na mbwembwe nyingiii halafu tunafika uwanjani kwa wingi tunashuhidia mpira wa makaratasi!

Huuu ni ujinga na ushamba wa kizamani, wapenzi wa soka tunataka kuona ufundi wa kusakata kabumbu sio maneno, kila mshabiki anataka kuona improvements kwa timu yake sio kukamiana kijinga......tuache mambo ya kizamani chezeni mpira wa kifundi mashabiki wapate raha.

Kila la heri kwa mnyama.
Halafu wanacheza kwa kuogopana na lilia wakitafuta draw
 
Halafu wanacheza kwa kuogopana na lilia wakitafuta draw
Tayari nipo uwanjani, nimezongwa na mashabiki hapa lakini nmewaambia huo ndio ukweli.

Macho yetu tutashuhudia hivi punde

Karibuni uwanjani tuburudike na tufahamiane.

Zandrano
Kutokea uwanja wa mkapa/lupaso
 
Pongezi kwa Simba kwa kupachika bao 2 kipindi Cha kwanza.
Bado bao moja naomba mtulie tuliii tumalizie bao letu kipindi Cha pili
 
Mpira umechezwa vizuri sana, magoli yote ya Simba yamedhihirisha ukomavu wa timu ya Simba.
Ahsanteni kwa kutupa raha mashabiki.
 
Back
Top Bottom