Mbwembwe za majeshi ya Afrika!

Mbwembwe za majeshi ya Afrika!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Ona hawa ‘makomandoo’ wa jeshi la Senegal.

Sipendi kuhukumu sana bila ya kuwa na taarifa za kutosha, ila kwa kutumia macho tu, naweza kusema hawa watu [wanajeshi wa Kiafrika] ni vilaza sana.

Hawa wajeda wa Senegal kumbe hawana tofauti na hawa wakwetu wanaovunjaga matofali kwenye maonyesho ya sherehe mbalimbali za kitaifa.

Kwa tulio werevu na wenye ufunuo, hakuna chochote kilicho ‘impressive’ hapo.

Eti wanafanya kama wanajikata na visu halafu halafu ngozi zao hazichaniki wala nini.

FOH with that bullshit.


View: https://youtube.com/shorts/kSYrVP_FjbQ?si=MtzbaWYoqdclNjyP
 
Hiyo inadhihirisha udhaifu na uoga walio nao ndo mana wanafanya maigizo.
 
China wana Jeshi makini sana ila sijawah ona wakifanya usenge huo, ni show show mpaka unaona kweli hapa wanaume wameiva acha hawa wakwetu wanatutishia uchawi.
 
Back
Top Bottom