Mbwembwe za Mzee Akilimali wa Yanga

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Kuna siku kipindi cha EA Sports kinachorushwa na EATV, walimtembelea Mzee Akilimali nyumbani kwake.
Watangazaji walipofika wakakuta katika sitting room ya Mzee Akilimali kuna Sofa za rangi nyekundu, wakastaajabu, na mazungumzo yao yakawa hivi;

Mwandishi: Mzee Akilimali tunakujua na umejitanabaisha kuwa wewe ni mnazi mkubwa wa Yanga, kulikoni tena ndani kwako kuna sofa zenye rangi ya mpinzani wako?

Mzee Akilimali: Unajua ndugu mwandishi, Simba ni watani wangu.. hizi Sofa hazipo hapa kwa bahati mbaya.. nimeziweka kwa makusudi ili kila siku niwe nawakalia.

Maoni: Nadhani kuanzia jana hizo Sofa hazikaliki.. maana kila anapozikalia zinamchoma kimoja anaruka.. akirudi tena chini zinamuongezea kingine.
 

Utani wa jadi huu, isije kuwa kaziweka hapo ili ziwe zinampakata……
 

Aaaaaaaaaaaah noumer
 
Utani wa jadi huu, isije kuwa kaziweka hapo ili ziwe zinampakata……

Hahaha.. Huwezi jua labda ndo marengo yake, awe anapakatwa daily.
 
sembo hivi yule fowad wa yanga sherman tokea aje bongo ana goli ngapi??

Mpaka mechi ya jana, kwa takwimu nilizo nazo ni kuwa kacheza mechi 11 za mashindano magoli aliyofunga ni 0.

Mechi 7 kacheza dk 90 - goli alizofunga 0

Mechi 4 kaingia kama sub - goli alizofunga 0
 
Last edited by a moderator:
Utakuta shabiki wa Simba anazulia kijani, hasa muulize kwanini rangi hiyo…!?

Mf. mimi nina kandambili pair 1 ya kuendea chooni, ndala ya mguu wa kushoto ina rangi ya kijani na ya mguu wa kulia ni rangi ya njano.. sikutaka kumuonea mtu.
 
Hahahaa alijibu kikubwa maana hapo nimemuona nimwenye uwezo wa kujibu japo jana amepewa cha moto
 
Mpaka mechi ya jana, kwa
takwimu nilizo nazo ni kuwa kacheza mechi 11 za mashindano magoli
aliyofunga ni 0.

Mechi 7 kacheza dk 90 - goli alizofunga 0

Mechi 4 kaingia kama sub - goli alizofunga 0

jumlisha na zile 4 za mapinduzi cup, mtani jembe
 
Ewe Mola wangu nakuomba wachezaji,viongozi na mashabiki wenzangu tusiwe na akili kama ya jirani kuona ligi nzima si bora ila mechi 1 ndiyo bora kwa akili zao hizi hawa majirani zetu mi naomba timu yangu siku zote shabaha yenu iwe ubingwa wa ligi muwafunge,mutoe droo au wawafunge muone ni sehemu ya mchezo na si vinginevyo. (kumbukeni huwa siogopi matusi,ukiuliza hoja nitajibu nikiwa na muda)
 
Kuna jamaa jana aliambiwa acheke kama akilimali...hahahahahahahahahahah....hahahahaahahahahahah...hahahahahahahah
 

huyo mzee hamnazo
 
Masikini sasa ni zamu ya Manji kuvuliwa gamba Yanga! Manji alidhani pesa zitaifunga Simba matokeo yake anazidi kuangukia pua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…