Mbwembwe za nini Bwana, kwani huwezi kufanya kimyakimya?

Heheheee kweli lakini!

Watu ndio zao. . .
Embu angalia thread zinazoletwaga humu. . .hamna hata mmoja anaeglorify mwenzie kuwa na nyumba ndogo.Utakuta mtu analia mwenzie alivyotafutaga nyumba ndogo mpaka mapenzi yote akahamishia huko alafu hapo hapo anasema kwa mbwembwe na yeye aliamua kutafuta yake.Au alitafuta yeye kwanza sasa kagundua mwenzie nae anae ndio anaomba msaada.
 
Umesema kweli kabisa. Nyumba ndogo ukiianzisha hamna tatizo. Mwenzako naye akianza unakuwa mkali mbogo

Ubinafsi wa binadamu huo. . . .watu wanajiona wao ni bora na wanastahili zaidi ya wenzao.
 
Mapenzi mapya yanakuwa matamu hadi mnaanza kuropoka. Na nyie si mtulie na wake zenu jamani.
 

Hiyo ni laana na mtu ukifikia hali hiyo hata familia yako utakuwa hauijali tena
 
Nataka nikuoe halafu nitafute ka nyumba kadogo!Vp hapo?

ukinioa hutokuwa tena na akili ya kutafuta nyumba ndogo. Nashauri utafute nyumba ndogo kwanza ndio unioe.
 
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…