Mbweni: Chadema yamsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM wa mtaa huo anayeishi kwa baba yake kugombea uenyekiti serikali ya mtaa

Mbweni: Chadema yamsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM wa mtaa huo anayeishi kwa baba yake kugombea uenyekiti serikali ya mtaa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wakati mwingine maamuzi ya Chadema huwa yanashangaza na kufurahisha.

Huko Mbweni wilayani Kinondoni jimboni Kawe Chadema wamemsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM mtaani hapo aitwaye Kambi kugombea uenyekiti. Kamanda huyo wa Chadema bado anakula na kulala kwa baba yake.

Kiukweli nyakati nyingine Chadema huwa wanaamua wenyewe washindwe halafu wanalalamika wameibiwa kura.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakati mwingine maamuzi ya Chadema huwa yanashangaza na kufurahisha.

Huko Mbweni wilayani Kinondoni jimboni Kawe Chadema wamemsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM mtaani hapo aitwaye Kambi kugombea uenyekiti. Kamanda huyo wa Chadema bado anakula na kulala kwa baba yake.

Kiukweli nyakati nyingine Chadema huwa wanaamua wenyewe washindwe halafu wanalalamika wameibiwa kura.

Maendeleo hayana vyama!
Chadema ni mfu jijini Salama hivyo wamebaki kutapatapa
 
Wakati mwingine maamuzi ya Chadema huwa yanashangaza na kufurahisha.

Huko Mbweni wilayani Kinondoni jimboni Kawe Chadema wamemsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM mtaani hapo aitwaye Kambi kugombea uenyekiti. Kamanda huyo wa Chadema bado anakula na kulala kwa baba yake.

Kiukweli nyakati nyingine Chadema huwa wanaamua wenyewe washindwe halafu wanalalamika wameibiwa kura.

Maendeleo hayana vyama!

Suala la kuibiwa kura hilo halina mjadala, hata kama wamemuweka huyo kula kulala lakini haimaanishi kuwa hawaibiwi kura.
 
Kwani akiwa mtoto wa katibu wa CCM hana maamuzi yake? we vipi? Arusha kata ya sakina mtaa wa melamari mwaka 2014 mama yuko ccm na kijana yuko chadema wote wakagombea uenyekiti mama akapigwa chini, Unadhani kila aishie kwao hana maamuzi? Au hana kipato? Hayo ni mawazo ya sie makabwela ambao tunakimbia nyumbani kwa sababu nyumba ndogo wazee wanakosa faragha zao mkuu.
 
Kwani akiwa mtoto wa katibu wa CCM hana maamuzi yake? we vipi? Arusha kata ya sakina mtaa wa melamari mwaka 2014 mama yuko ccm na kijana yuko chadema wote wakagombea uenyekiti mama akapigwa chini, Unadhani kila aishie kwao hana maamuzi? Au hana kipato? Hayo ni mawazo ya sie makabwela ambao tunakimbia nyumbani kwa sababu nyumba ndogo wazee wanakosa faragha zao mkuu.
Hahahaaa..... Wagombea wa Chadema bhana!

Nina hakika mgombea wetu atapita bila kupingwa.....usiniulize kivipi!
 
Narudia tena, hilo suala la kumuweka huyo kula kulala usilitumie kama sehemu ya Utetezi wa cdm kuibiwa kura. Hayo ni mambo mawili tofauti. Cdm wanaibiwa kura na chini ya awamu hii sio kuibiwa tu, bali wanaporwa na kutotangazwa kimachomacho.
Hilo mimi siliamini kabisa...... Chadema hawana network!
 
Kwani anaekula nyumbani haruhusiwi kugpmbea? Sheria ya uchaguzi inasemaje?
 
Back
Top Bottom