Seriously?? Mzoa makopo mstaafu wa chamazi unamzimikia? What so special about him? Bila shaka we ni mndengereko,------ na ushuzi wa aina hiyo cc Matola
Aiseee! Sitegemei kuna chombo cha habari kinaweza kuwa na mtu asiye jua kusoma!
Huyu naye ni Celebrity??!
Kuna mada humu iliwahi kuletwa kuhusu mbwiga wa Clouds FM kushindwa kusoma, jana imethibitika kashindwa kusoma magazeti kwenye kipindi cha Power Breakfast akasingizia macho hayaoni.
Mimi naweka dau la laki tano akiweza kusoma ukurasa mmoja wa kitabu cha Juma na Rosa.
Seriously?? Mzoa makopo mstaafu wa chamazi unamzimikia? What so special about him? Bila shaka we ni mndengereko,------ na ushuzi wa aina hiyo cc Matola
Ni Clouds fm pekee.
So wazoa makopo kwako wewe ni wapumbavu?..wewe huzoi makopo ila una mtazamo wa kipumbavu kuliko huyo mbwiga