Mbwiga wa clouds FM hajui kusoma

Mbwiga wa clouds FM hajui kusoma

Seriously?? Mzoa makopo mstaafu wa chamazi unamzimikia? What so special about him? Bila shaka we ni mndengereko,------ na ushuzi wa aina hiyo cc Matola

Kwani mbwiga si mzaramo hata kama anatoka kisiju undengerekoni kwa ni tatizo lipi
 
Last edited by a moderator:
Kwani kilichompeleka clouds ni kusoma au kipaji chake cha misemo ya Kiswahili cha pwani?
 
Yote maisha tu,kinachotakiwa ni kupata kwa njia za kihalali,mbona maprofesa kibao bongo wameishia kuwa mafisadi?
 
Kuna mada humu iliwahi kuletwa kuhusu mbwiga wa Clouds FM kushindwa kusoma, jana imethibitika kashindwa kusoma magazeti kwenye kipindi cha Power Breakfast akasingizia macho hayaoni.

Mimi naweka dau la laki tano akiweza kusoma ukurasa mmoja wa kitabu cha Juma na Rosa.

Kwaio na wewe unajikuta 50 cent kumjaribu floyd money mayweather?
 
Seriously?? Mzoa makopo mstaafu wa chamazi unamzimikia? What so special about him? Bila shaka we ni mndengereko,------ na ushuzi wa aina hiyo cc Matola

So wazoa makopo kwako wewe ni wapumbavu?..wewe huzoi makopo ila una mtazamo wa kipumbavu kuliko huyo mbwiga
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom