MC Pilipili acha kulilia mwanamke, unatuaibisha Wagogo

byembalilwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
2,059
Reaction score
946
Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
 
Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
Aiseee ivi mapicha picha anayoandika kule IG ,niyakweli ??au huwa anavuta Attention ?? .maana mwanamme hawezi kufanya izo mambo
 
Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
mafala hao wanatafuta kiki kwa tamthilia yao mpya.hakuna mke wala cha mke....bongo hawaendi bila stunt.
 
Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati.
Hivi Mnatufanya sie wana JF mazwazwa na KIKI zenu za KIBASHITE?
 
Wagogo kubobea kuombaomba mpaka mapenzi hii ni [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Nawona posti igolo kufesibuku ya pilipili akumhong'anga mwijaku sinamanya kumbe so ya wanyaso..!! Wozimanya wenecho...
 
Sio MC Pilipili tu, wagogo wengine wanaokutieni aibu ni wale wa mitaa ya kati. Wao kazi kuombaomba tu .
 
Wagogo wenyewe ndio hawa kina Lemutuz?
 
poleeee maana hamna tofauti na matonya nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…