Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nasikia na Kiwewe naye anataka kuchukua form pale Iringa kupitia ccm
Acha watunishe mfuko wa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha watunishe mfuko wa CCM.
Sipati picha hao wotw wafanikiwe huo ubunge huko full ukilaza.
Hiyo imepitwa na wakati. Ilikuwa wakati ule siamini kama mwaka ujao itakuwa kama wakati uleHiyo ndio njia ya kuelekea kwenye U DC, DAS, KURUGENZI, RC, RAS...
So siwacheki.. Wanajiweka kwenye wishlist.
Hivi huyu huwa anachekesha nini na anawachekesha wakina nani labda?
Kiwewe ndo nani ?Nasikia na Kiwewe naye anataka kuchukua form pale Iringa kupitia ccm
Yes ndo mimi. Kwani kuna tatizo ?Au ndo wewee Nini??[emoji16][emoji16]
Hakuna tatizo bibiYes ndo mimi. Kwani kuna tatizo ?
Kiwewe ndo nani ?
Simfahamu.Yule comedian
Simfahamu.
Ahahaaahh waache wajimwageInaonekana vijana wengi Tanzania hawana kazi ya kufanya na wana tamaa ya maisha ya haraka, Serikali jitahidini muwekeze kwenye hii nguvu kazi ya vijana ikafanye kazi iache kuwaza ubwanyenye..kila kijana anataka nyadhifa ya kisiasa sasa...inasikitisha sana dah...