Uchaguzi 2020 MC PiliPili ajitokeza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge Bahi kupitia CCM

Hiyo ndio njia ya kuelekea kwenye U DC, DAS, KURUGENZI, RC, RAS...

So siwacheki.. Wanajiweka kwenye wishlist.
Hiyo imepitwa na wakati. Ilikuwa wakati ule siamini kama mwaka ujao itakuwa kama wakati ule
 
Inaonekana vijana wengi Tanzania hawana kazi ya kufanya na wana tamaa ya maisha ya haraka, Serikali jitahidini muwekeze kwenye hii nguvu kazi ya vijana ikafanye kazi iache kuwaza ubwanyenye..kila kijana anataka nyadhifa ya kisiasa sasa...inasikitisha sana dah...
 
Ahahaaahh waache wajimwage
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…