Binafsi huwa anaboa ajifunze kwa GaraBKatoa kweli maana hiyo akifanya uMC wa harusi 4 tu tayari kafikisha hiyo pesa
Jamaa sio mchovu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafikiria vile thamani ya pesa haiendani na Anachokinunua.Kwahiyo hiyo mil 8 ndiyo ilisababisha alie?
Pumbaaavu kabisa. Ulimbukeni wa kishamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nilitaka tu busara zako. Kule umemtetea sana lakini kwa yanayoendelea atakuangusha. Mpaka sasa tushajua mahari aliyoambiwa atoe, tushajua huyu mdada alikuwa na mtu wake na kafuata pesa kwa Pilipili. Yote Haya hata wiki haijaisha. Ila kubwa nilitaka nione unasemaje kuhusu public stunt anayopata huyu Dada toka kwa mume mtarajiwa wakeSikuwa nimepita hapa rafiki.
So mnataka kusema lile chozi ni kuwaza hela yake?
Itakua aiseeeHivi inawezekana ikawa kweli kwamba jamaa hajaonja papuchi? Hamuoni kwamba alitania tu kusema vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini?
Huyu sio mwanaume wa Dar, ni wa mkoani huko ndo maana anafanya vitu vya ajabu angekua mwanaume wa Dar huyo manzi ndo angempa hizo hela jamaa aje atoe mahari...jamaa ni mshamba sijawahi kuonaHajawahi kumgusa, demu hana bikira na mali milioni 8?
Huu ujinga unapatikana kwa wanaume wa Dar tu.
WivuKwahiyo hiyo mil 8 ndiyo ilisababisha alie?
Pumbaaavu kabisa. Ulimbukeni wa kishamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajawahi kumgusa, demu hana bikira na mali milioni 8?
Huu ujinga unapatikana kwa wanaume wa Dar tu.
Ww ni ke?Kwanini?
Hajawahi kumgusa, demu hana bikira na mali milioni 8?
Huu ujinga unapatikana kwa wanaume wa Dar tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo vijana waliomrarua huyo dada wanacheka tu.
Hapo vijana waliomrarua huyo dada wanacheka tu.
Na wataendelea kumrarua, maana inaonekana mwanaume ndio hajielewi kwa mwanamke.!
Does she really worth that amount of money..?