MC pilipili kufunga ndoa na mrembo huyu

MC pilipili kufunga ndoa na mrembo huyu

Kwekitui

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2017
Posts
1,070
Reaction score
1,083
Mchekeshaji Emmanuel Mathias aka MC Pilipili ametangaza tayari amempata mwenza wake katika mahusiano na hivi karibuni wataingia kwenye maisha ya ndoa.

MC huyo maarufu kwa sasa siku ya jana alikutana na baadhi ya wadau wake kwaajili ya maandalizi ya shughuli hiyo.

Muda mchache baada ya kumalizika, MC huyo alimpost mchumba wake huyo na kuweka kopa ikimaanisha mapenzi.

Pia MC huyo alipost video ambayo ilikuwa inawaonyesha wadau mbalimbali wakijadiliana kuhusu ndoa hiyo.

“Asante sana kwa MH @ndele_mwaselela mkurugenzi wa @patrickmissionhighschool kwa kudhamiria kubeba sehemu ya Bajeti ya harusi yangu ivi karibuni …asante sana,” aliandika MC Pilipili kupitia instagram yake.

Screen-Shot-2018-08-04-at-14.47.28.jpg
 
Safi mrembo wa ukweli huyo,kuna kipindi alikuwa na ukaribu na mdada wa maigizo ya kibogo nikajua ndio ataweka ndani yule?
 
kuna wanawake hua wanasema hawatakaa waolewe na watu wafupi ina maana huyu mwenzao hajaona ufupi wa jamaa? au wanasema hivo wakiwa mitandaoni tu ukija kwenye uhalisia wanapenda wanaume wafupi?
 
MC Pilipili simwelewagi kazi zake, ila taste zake kwa hawa viumbe naziheshimu sana.

As long as hashiki mapembe.
 
kuna wanawake hua wanasema hawatakaa waolewe na watu wafupi ina maana huyu mwenzao hajaona ufupi wa jamaa? au wanasema hivo wakiwa mitandaoni tu ukija kwenye uhalisia wanapenda wanaume wafupi?
Wanaongea wakiwa nyuma ya keyboard
 
Back
Top Bottom