Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.

Amesema kwa sasa yupo na Pacome.

Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Hawa wachungaji wameharibu sana wake zetu. Wametengeneza mazingira wake zetu wawaheshimu kuliko wanavyotuheshimu. Wanajifanya wababa wa kiroho wa familia. Wanaombea familia zetu wakati wa mapito.
Sasa kwanini afeli yeye kujiombea na ndoa yake!!?
 
Yule jicho Huli chini ya mil 10.ila kimtaani mil 1 hakatai ukituma mashangingi wa sinza mori
 
Jirani na wewe mdau wa mcity?? Hivi mnapapendea nini wana JF πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Dada kwa ratiba ya Sisi wapenda Raha junapili ndo siku inaboa dar sasa ratiba poa ni jmos unalewa Sana Kisha unashinda unalala jpil asubuhi unakula supu rombo view na chapati unashishia maji makubwa na bia mbili unarudi kulala.ukiamka saa 7 unaelekea mcity pale unakula ma junk food yako .basi unakula mpaka saa 3 saa 4 uko kitandan tayari kwenda kuwavutia kwa utendaji mabosi jumatatu
 
Hii ndo style naishi, wanashangaa siachiki
 
[emoji1787]
 
Nilijua hela, kumbe fame! Mkuu ukiwa fame ni adhabu nyingine kama hujui, unaamka huna nauli huwez panda dala dala utazunga weee, ukiwa sehem patapitishwa mchango wowote itakula kwako maana macho yote kwako.


Enjoy kutokuwa fame
hii kweli kabisa yani wewe ni celebrity halafu huna kitu, utakoma na dunia hii
 
Du
 
Dunia ina mambo hii. Loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…