ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
classmate wako mkuu umemsahau 😁Huyo pilipili ndio nani kwanza..🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
classmate wako mkuu umemsahau 😁Huyo pilipili ndio nani kwanza..🤔
Kiko wapi, kiko wapiiii!!!!!!!!! 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mapambio yote yale na machozi juu
La msingi ni hili alipata slay queenSlay kwin anataka hela na umefilisika,lazima akukimbie.
Shida alimu expose mke wake kwa matajiriiiii 😅😅😅 alafu siku nikaona anahojiwa na clouds anasema mimi ni nani??? nisiwe na mwanamke mzuri, kwani nini wawe matajiri tu.....hapo ndiyo alipo tangaza vita na matajiri.....Sijawahi fuatilia maisha yake, ika kwa juu juu kosa alilifanya, ni kumuonesha mkewe anampenda saana, yani kifupi jamaa alikuwa hajiwezi kwa mkewe ni yeye ndio alikuwa anatumia nguvu nyingi kwenye penzi.
Mwanaume unapaswa kuwa jitu la mtumba hueleweki, yaani siku ukiamua bembeleza, unabembeleza na kupet pet mpaka anakuona bushoke, siku ukiamua uso wa mbuzi, inakuwa mbuzi kweli mpaka anajiuliza ndio huyu huyu anaenipet pet mimi. Ishi kwenye misimamo.
Wote wanaoishi hivi na wake zao lazima liwakute jambo, mwanamke hatakiwi kujua hisia zako 100 kwa 100 abali anahisi hisi tu.
Pesa ni mwanaharamu.Shida alimu expose mke wake kwa matajiriiiii 😅😅😅 alafu siku nikaona anahojiwa na clouds anasema mimi ni nani??? nisiwe na mwanamke mzuri, kwani nini wawe matajiri tu.....hapo ndiyo alipo tangaza vita na matajiri.....
Vijana wenzangu tajiri akiamua kuchukua mke wako huna la kufanya.
Pesa ni mfalme wa dunia, mwenye pesa si mwenzako.Pesa ni mwanaharamu.
Huyu alishindwa kuwekeza zama zake. Kapata sana hela miaka ya 2015 mpaka 2018... yeye alikuwa Mc mkubwa sana. Na u mc wa harusi ni kazi inayoleta hela nyingi ndani ya siku moja.. ukichanganya kazi za mwezi mzima kupata milioni 10 ni rahisi sana.
Pia standy up comedy amefeli sababu hakuwekeza pia kwenye ujuzi zaidi. Wamekuja vijana wapya wamempita sokoni.
Ma Mc wenzake wana maisha mazuri sababu wanawekeza. Hela hawachezei.
Garab alivyotoboa tu hakurudi nyuma tena.. kila mwaka anajenga appartments tu.
Pia ukiwa na hela hupaswi kuoa kizembe zembe hajaona mfano kwa MC mwenzake Garab mwanamke aliyemuoa yukoje.
Kaoa mhaya mwenzake mtoto wa msomi mambo safi Dr wa udsm.
Mwanamke tu anatoka ukoo wenye connection wa kazi za harusi kubwa.
Kubwa San hiiNdoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
Tuanze wapi kwani yule mwanamke Ni Kabila ganiHadi mchungaji kalalamika kufilisiwa na huyo mdada bado unaamini tu kuwa ni wapenzi?
Mkaka wa watu kasema hayuko kwenye ndoa na sababu kaziweka wazi. Kama kweli hawajaachana basi utamsikia Cute M akikanusha.
Yule Ni Kabila gani nijue kwanzaOgopa kuoa jini mufilisi, wanaume hunyamazia mengi Numbisa sa
Mchaga wa Rombomwanamke Ni Kabila gani
Unamchokoza jasus bobevu la ubuyu, sajent Nifah 😂Ndio iliyo mgharimu had leo anangoja ndoa, mwanamke kuheshimu mme sio misimamo
Washamba wa mapenzi hao,Sasa mtu kutwa kumpostpost mke wake mtandaoni,unatafuta nini hapo kama syo kupigiwa
Ova
Filomena dada yako,mi naitwa cute mena sawa?Maji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.
Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.
MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.
Stress sasaLa msingi ni hili alipata slay queen
SJUITFilomena dada yako,mi naitwa cute mena sawa?