Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππhata ingekua ni wewe ungekubali kulala na pilipili..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππhata ingekua ni wewe ungekubali kulala na pilipili..
Jirani una ubuyu mzito na hujanipa?? Nafuta ujirani na wewe πππMaji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.
Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.
MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.
Hatimaye chill sauce umefika πππUzuri mc pilipili amewazidi umaarufu wote mnaokaa kupoteza muda kumujadili.
Ndoa hizi? Mungu atusaidie tu. Wala sio mambo ya kuchekana.
[/
Nifah tuongee mimi na wewe huenda ndoa yetu itadumu, tukimuomba Mungu pia
Na akalia kwa furaha ya kumpataππHuyu jamaa ndo alisema ktk mastar Hapa bongo, yeye ndo kaoa mwanamke mzur sn kuliko wote[emoji2]
Kale kalisoma Education, chemistry with computer science, sie tulikua Mechanical Engineering na Jamaa yake Godfrey. Kiukweli nafahamu kama washkaji 3 waliokapiga kabla hakajasetle na mshikaji kama mke na mume.Jirani una ubuyu mzito na hujanipa?? Nafuta ujirani na wewe πππ
ππππ Naona umeamua kumuua chill sauceKwani uongo jamani bff? Hebu Sema na wewe
ππππ Kwahiyo kilianza kitambo kufumuliwa mixer mitungo??Kale kalisoma Education, chemistry with computer science, sie tulikua Mechanical Engineering na Jamaa yake Godfrey. Kiukweli nafahamu kama washkaji 3 waliokapiga kabla hakajasetle na mshikaji kama mke na mume.
Halafu kanapenda sana Engineersπ π .
ππππ Kwahiyo ukajichukulia mgao wako??Sasa kuoa labda jiolee kanesi Hilo.ila Mambo ya kuoa pisi Kali dar kuna wahuni wanahela jaman .siku moja nilienda na demu ni mshikaji wangu Tu na Malaya wa kitambaa ila ni pisi balaa.mtaani sinza hata elfu 20 kimoja unakula .mm ushkaj ndo ananipaga Hadi bure ila ndo .
Nlipiga zangu bia the hood pale sinza ghafla kuna kaudalali nilimsaidia Jamaa kupata nyumba bei ya kutupa akanirushia laki 3 nkasema am back Maza Fala.
Nikamchukua huyu demu nikasumbue mjini nkawasha ki alteza changu huyooo Hadi Tiffany hotel ndo wanakokaaga hawa washenzi.
Basi kwa kuwa nimelewa nkawa na mahaba Niue na huyu demu ila tunajuana anaiunganishiaga.
Asee kuna Jamaa anaitwa sanga ni billionaire kumbe kamuelewa .sasa akiniangalia nimekula pamba na nimejipinda vichupa vya wine za laki laki viwili meza full iced akajua mwamba mwenzie kumbe naishi geto la laki 2 sinza mwee.
Basi nkahisi wahudimu wanamaagizo maana wanasogea Sana .nkaamua kugeuza fursa nkawa namwita wife .wakimnongoneza napiga biti macho mekundu ka savimbi.demu nkamwambia skiza hapa naenda choon ila chukua dau la kunikimbia uniambie yangu ngap.huwez amini sanga alitoa mil 1.5 ili akamle kimoja(Kula jicho) sijui kwa nini jaman
DADA ZETU KIMBIEN MATAJIRI HAWATOMBI WANAFIRA TUU
List ipo ya matajir sitotaja Hadi hawa wamipira mmoja na Yule wa mabasi
Tuendelee..asee nkamwambia changu laki 5 akakubali nkajifanya nimezima demu kaenda liwa karudi .
Alipofika nkachikua Mia tano(asubuhi nligundua alinipa Mia nne ) nikawa namuangalia sanga ananiangalia jicho la kunifharau kumbe na mm namdharau .nkamaliza wine nkarudi Kula bia za vigrocery vya mashangingi kinondoni
ππππ weeeh! Kumbe wana wa st joseph waliisasambua pochi manyoya ya mama pastor???alafu ni kweli st joseph walimpiga mtungo wala si utani sheenz alafu eti kawa mama mchungaji na wakapata waumini.ptuuuu
oohhh sana tu. π€£ π€£ππππ weeeh! Kumbe wana wa st joseph waliisasambua pochi manyoya ya mama pastor???
Dah!! Hatareeee πππoohhh sana tu. π€£ π€£
Ona unavyopenda hizo storyπ π . Jirani next week pls tukapate dinner paleee samakisamki Mlimani city ili unikampani.ππππ Kwahiyo kilianza kitambo kufumuliwa mixer mitungo??
Jirani na wewe mdau wa mcity?? Hivi mnapapendea nini wana JF πππOna unavyopenda hizo storyπ π . Jirani next week pls tukapate dinner paleee samakisamki Mlimani city ili unikampani.
Lakini hivi nikweli juice ya watermelon kuuziwa elfu 5 grass Moja?. Ina kipi cha special?, bei za samaki samaki kwa ww mkinga huziwezi.π
π€£π€£π€£π€£π€£ kmmk umetisha mkuuwanawake wengine bora upige zako puchu la asali mbichi kutoka tabora ufukuzwe na nyuki ung'atwe utoke manundu upelekwe hospitali ufe...
Nimeanza kwenda February ya mwaka huu pale, sema Huwa nakaa kaa pale mida ya jion hasa weekend au Pale instanbul, nimevutiwa tuu sielewi Kwa nn sehemu nyingine unakuta Fujo nyingi lkn pale angalau watu wametulia wanapiga story nawatu wao huku washushia kinywaji(Mie sinywi). Next weekend twende jirani.π πJirani na wewe mdau wa mcity?? Hivi mnapapendea nini wana JF πππ