Asante Mkuu, japo code zimeendelea kutembelea ncha ya reli ila nimepata uelewa kidogo.
Hongera kwa kuwa na info exclusive hivi. [emoji122]
Sasa kuoa labda jiolee kanesi Hilo.ila Mambo ya kuoa pisi Kali dar kuna wahuni wanahela jaman .siku moja nilienda na demu ni mshikaji wangu Tu na Malaya wa kitambaa ila ni pisi balaa.mtaani sinza hata elfu 20 kimoja unakula .mm ushkaj ndo ananipaga Hadi bure ila ndo .
Nlipiga zangu bia the hood pale sinza ghafla kuna kaudalali nilimsaidia Jamaa kupata nyumba bei ya kutupa akanirushia laki 3 nkasema am back Maza Fala.
Nikamchukua huyu demu nikasumbue mjini nkawasha ki alteza changu huyooo Hadi Tiffany hotel ndo wanakokaaga hawa washenzi.
Basi kwa kuwa nimelewa nkawa na mahaba Niue na huyu demu ila tunajuana anaiunganishiaga.
Asee kuna Jamaa anaitwa sanga ni billionaire kumbe kamuelewa .sasa akiniangalia nimekula pamba na nimejipinda vichupa vya wine za laki laki viwili meza full iced akajua mwamba mwenzie kumbe naishi geto la laki 2 sinza mwee.
Basi nkahisi wahudimu wanamaagizo maana wanasogea Sana .nkaamua kugeuza fursa nkawa namwita wife .wakimnongoneza napiga biti macho mekundu ka savimbi.demu nkamwambia skiza hapa naenda choon ila chukua dau la kunikimbia uniambie yangu ngap.huwez amini sanga alitoa mil 1.5 ili akamle kimoja(Kula jicho) sijui kwa nini jaman
DADA ZETU KIMBIEN MATAJIRI HAWATOMBI WANAFIRA TUU
List ipo ya matajir sitotaja Hadi hawa wamipira mmoja na Yule wa mabasi
Tuendelee..asee nkamwambia changu laki 5 akakubali nkajifanya nimezima demu kaenda liwa karudi .
Alipofika nkachikua Mia tano(asubuhi nligundua alinipa Mia nne ) nikawa namuangalia sanga ananiangalia jicho la kunifharau kumbe na mm namdharau .nkamaliza wine nkarudi Kula bia za vigrocery vya mashangingi kinondoni