Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.

Amesema kwa sasa yupo na Pacome.

Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Huyu naye ni Mpolipoli tu hivi unafilisiwa vipi na Mwanamke halafu unasema kwa Sasa upo na Pacome? Yaani Ma celebrity wengi Wana Msongo mkali sana wa mawazo
 
Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.

Amesema kwa sasa yupo na Pacome.

Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Sema tusiache masihara.. a woman past sio ya kupuuza.. Yule Dada alishaliwa mpaka mtungo huko jamaa aliambiwa bado alipuuza na video alikuwa anatumiwa yeye anajifanya kichwa ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke sahivi Kawa Malaya mlokole kama baadhi ya wasanii wakike wa dini ambao wanatoa mpaka ule mtandao pendwa.. Usioe

Kama ukiamua kuoa oa mwanamke mbichi.. sio mwenye historia ya umalaya
 
Sema tusiache masihara.. a woman past sio ya kupuuza.. Yule Dada alishaliwa mpaka mtungo huko jamaa aliambiwa bado alipuuza na video alikuwa anatumiwa yeye anajifanya kichwa ngumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanamke sahivi Kawa Malaya mlokole kama baadhi ya wasanii wakike wa dini ambao wanatoa mpaka ule mtandao pendwa.. Usioe

Kama ukiamua kuoa oa mwanamke mbichi.. sio mwenye historia ya umalaya
Mtu aliyewai kuwa Malaya aise akiwa kwenye mazingira wezeshi atarudia tu tabia yake,kufaham background ya mtu ni muhimu pia
 
Nikweli MC Pilipili yumo humu tena kila siku anaingia humu jf, nimejua hili kwasababu kipindi kile kuna jamaa alipost humu jf kuwa Ambwene Mwasongwe Kafariki, nsikia yeye ndiye alikua wakwanza kumpgia simu Ambwene kua kaona mtu kapost JF...
Huenda yumo humu humu kajaa mihasira ya kufilisiwa na sasa atajiunga na timu kataa ndoa ili kukazia hasira yake.
 
Sio hater lakini yule dada binafsi namuona macho juu juu sana

Sio kwa ubaya

Na sidhani kama kweli wameachana
Maji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.

Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.

MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.
 
Maji maramoja yule Filomena, chuo alikua anaishi na Godfrey kama mume na mke, kwahio Kwa mc pilipili ilikua ndoa ya pili.

Kipindi anaolewa tulimcheka Sana Godfrey, na kiukwel walikua wnapendana. Ingawa Kwa Sasa Jamaa yupo SGR, kama Site Engineer.

MC pilipili heri amemrudishia mshikaji manzi wake.

Hahaha jamani
 
Back
Top Bottom