Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

Mm MTU akioa huwa namshangaa sana hajui asilimia 80 ya wanawake walio ndoan ndan ya 10 years huwa wameliwa na watu si chini ya 3 nje .na mwanaume ukipata ushahidi mmoja tu huwa inapunguza nusu ya uhai ulobakia inashisha nusu ya utajiri.
Msitumie mihemko angakieni ndoa nzuri ambayo mume aligundua mkewe kaliwa alibaki kawaida.

Pili shahawa za mwanamke kushamkojolea ndani hata asafishe Vipi hudumu siku 7 kwa mantiki hiyo kama umeoa na umesha kila mwaka Una wastan wa kunywa shahawa gram 1.
Tatu 60 asilimia ya wanawake wake za watu huwa wanaempenda number 1 ambae sio mmewe.na huwa wanammiss
Nne kama ww kijana mpambanaj kuoa ni kamakuwapa maadui zako Raman ya vita .mengi alikuwa na furaha kumshinda Patel kununua jengo kidhulma.patel alipambana akamfiraa mkewe unaambiwa hii ni sababu moja Mzee kughoa
 
Tulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.

Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Hiki kizazi hiki
Kwa hiyo unataka mwanamke ndo atongoze, akupende wewe mwanaume
Hapana aiseeee
 
Seems baada ya kuingia kwenye uchungaji ndio akashuka au baada ya kuoa. Sababu mke anakuja na baraka au uzia

Mc pilipili alishushwa na ma mc vijana wapya sokoni.. wamekuja vijana wabunifu zaidi yake wakamtoa sokoni .. ndio hao kina Gara B.

uchungaji kaingia juzi juzi tu baada ya kuona u mc hapati wateja wa kutosha
 
Mc pilipili alishushwa na ma mc vijana wapya sokoni.. wamekuja vijana wabunifu zaidi yake wakamtoa sokoni .. ndio hao kina Gara B.

uchungaji kaingia juzi juzi tu baada ya kuona u mc hapati wateja wa kutosha
Ndio naona baada ya soko lake kushuka akaingia kwenye 'utumishi', na huduma ya kanisa ndio ameifunga hivi karibuni.
 
wazee wa kataa ndoa wakiibuka tutachekwa sana
Hao jamaa wameshaweka kambi hapa Ila hawana hoja ya msingi kwa kuwa mhuni fulani aliyejivika uchungaji ndiye kamkumbia mwanamke mhuni mwenzie.

Wangekuwa na hoja kali na yenye mashiko iwapo aliyeachana na mke angekuwa mwalimu Mwakasege 😂
 
Baba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.

Amesema kwa sasa yupo na Pacome.

Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Yasemekana naye mchungaji naye ni chakla ya watu. Na hii yaweza kuwa ndiyo sababu iliyomkimbiza mwanamke, kaogopa kuishi na mwanamke mwenzie
 
Back
Top Bottom