Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atafute mlugaluga nwenzie wa kigogo sio kupapatikia wanawake wa mwendokasi kasi wanasumbua sanaHata akitubu hawezi rudiana na mkewe, jamaa kakazia kuwa kwa sasa yupo na Pacome tu full bleach kichwani 😂😂
Ngoja tuone ataangukia wapiAtafute mlugaluga nwenzie wa kigogo sio kupapatikia wanawake wa mwendokasi kasi wanasumbua sana
Atafute huko Ibiliwahana ndani ndani huko mgogo mwenzieNgoja tuone ataangukia wapi
Akipata huko atamleta mjini na kumpost halafu wajuba watachangamkia mali mpya na Safi kutoka kijijini 😂Atafute huko Ibiliwahana ndani ndani huko mgogo mwenzie
Biblia 1 Petrol 3:7 inasema waume waishi na wanawake kwa akili.Kigezo kikuu akiliBaba mchungaji huyu amefunguka kuwa hayupo katika ndoa kwa sababu ya kufilisiwa na mwanamke.
Amesema kwa sasa yupo na Pacome.
Tumuombee arudiane na mkewe. View attachment 2926310
Kumbe mgogoAtafute huko Ibiliwahana ndani ndani huko mgogo mwenzie
Tunamsubiri mwinjakuUkishaweka ndoa yako mitandaoni ujue hiyo ndoa inaenda kwenye life support machine. Bado Manara.
Tulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.
Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Duh tako lile watu wataliachajeBosi wa maji ya hill ndo kavinja ndoa
Sasa mtu kutwa kumpostpost mke wake mtandaoni,unatafuta nini hapo kama syo kupigiwaNdoa inazidi kukosa thamani kwa sababu ya ulimbukeni wa baadhi ya watu,mnaokotana tu huko njiani mnaparamiana
Wakawaida sema kumpost kulizidiDuh tako lile watu wataliachaje
Ova
Ninachojua mimi ni mtamu na ana ki alama kama v juu kabisa kwenye uvungu wa paja,habari ya kumla ni yako mi sijasema.He! Ulishamkula?
Vocla kama vocal fremitusTulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.
Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Evelyn Wewe ni Mwanaume?Comment zetu wanawaume wa jf 👇
"Jamaa alikua anajifanya anampenda sana huyu mwanamke"
"Jamaa alifanya wengine tuonekane hatujui kupenda au hatuna wake, tulikua tunamwangalia tu"
"Unampigiaje magoti mwanamke, lazma akunyooshe"
Hakika mkuuTulijua hili lingetokea. Mwamba alionyesha wazi kua yeye ndio kampenda zaidi mwanamke kuliko mwanamke alivyompenda yeye.
Alionyesha wazi kua yeye ndiye aliyekua anahitaji sana ndoa kuliko mwanamke alivyokua anaihitaji. Kwa kifupi tu ni kwamba he was a simp! Women never get along with simps!!!
Hatumuombei ila kayataka mwenyeweUkishaweka ndoa yako mitandaoni ujue hiyo ndoa inaenda kwenye life support machine. Bado Manara.