Mc PiliPili `Stand up Comedy` huiwezi

ukiangalia basket mouth, eric omomdi na wale jamaa wa Chulchil ya kenya

MC PILIPILI anatakiwa akae sana kujitafakari kabla mambo hayajaharibika.....kimsingi HACHEKESHI

uki wa compare ERIC vs PILIPILI ........utaona hamna kitu.....kama BAHARI na KISIMA
 
Aisee kuna kitu unamiss kuna show inaitwa 'Churchill show' stand up comedians wa Kenya wanakua wanatoa burudani, hapo ndiyo nikajua Eric anakua analazimisha mtu ucheke fani haiwezi. Icheki hiyo ishu hata Youtube mkuu.

Erick katokea Chulchil akaamua kutoka SOLO na kama Hujui Eric ndo alikuwa second best baada ya Chulchil mwenyewe

Youtube kuna video kibao za Omondi enzi bado yuko na Chulchik LIVE kabla ya kuamua kuanza kivyake

ERIC anajua.....mfuatilie kwenye channel yake standby commedy zake ziko creative sana
 
Duh mlivyomkomalia, kwa upande wangu naona anachekesha, tatizo lake ni moja, anarudia sana vichekesho, sio mzalishaji mzuri wa vitu vipya
Hayo mapungufu ulioyaona ndiyo watu wanayomkosoa. Dogo ajitahidi kuwa mbunifu la sivyo atajikuta anacheka mwenyewe huku watu wakidai kiingilio chao!
 
Ni kweli Eric ni mbunifu anadedicate nguvu katika kuelaborate anachotaka. Katika kuchekesha hua inafika muda wa kutoa punch ambayo ndiyo imeshikilia hiyo joke nzima.

Mfano mchekeshaji akiwa anawaaga audience aweza sema 'Plz don't forget my name is Juma and if you want to follow me this is how I look from the back' ( huku yeye mwenyewe akigeuka, kwa kawaida kufika hapa watu inabidi wacheke.

Eric watu wasipocheka atang'ang'aniza emphasis katika hii punch, yani ni kama anashangaa kua "hawa vipi mbona hawaoni punch hii hapa?" So analazimisha muione.
 


kuna hii standby commedy huyu jamaa ni KICHAA
 
Hahahahaha kiongozi naona jamaa kauteka moyo...

Nimetizamana sana standby commedies jamaa wengi hata east africa....

jamaa anajitahidi na jamaa wa Chulchil naona jamaa huyu ni Kichaa

Kansiime clips zake zachekesha ila Standby commedy zake hazinivutii
 
Hayo mapungufu ulioyaona ndiyo watu wanayomkosoa. Dogo ajitahidi kuwa mbunifu la sivyo atajikuta anacheka mwenyewe huku watu wakidai kiingilio chao!
Eti atajikuta anacheka mwenyewe na watu wanadai kiingilio [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…