Mc PiliPili `Stand up Comedy` huiwezi

Mc PiliPili `Stand up Comedy` huiwezi

<<wote TZ hapa stev,pilipil,iddy,wotee kazi ya kutaja majina tuu ya watu jukwaani sijui kidooogo JOTI akianza pangineo atakuwa mbunifu maana anacheza sehemu 3 tofauti ,babu ,mke,mtoto>>>
 
Iv hzo channel za kuchek wakenya n zip na SAA ngap kwenye dstv
 
Ni kweli Tz hatupo vizuri katika stand up kwa waliopo sasa hivi ila hawa uliowataja labda Prof Hamo, binafsi Anne na Eric naona hawako vizuri. Kuna mshikaji anaitwa Ayeya yule ni comedian mzuri kushinda hawa wawili.
Kwa ninavyojua sifa nyingine ya kuchekesha kama huwezi observational comedy basi uwe unaongea ujinga hapa unaKutana mtu anaitwa Sumaku anaongeaga pumba tamu sana kuzisikiliza.
Ayeya ni anajua aiseee.

News ni news
 
Sasa kila mtu hapa anakuja na komedi wake bora bila Shaka na mc pilipili anamashabiki wake wanaompenda
Shida Ya mc pilipili anatumia nguvu nyingi Sana kuchekesha
Ajifunze kwa Mpoki na sumaku WA mizengwe......
 
Mi Bora niendelee kuwa angalia akina Kat William, criss rock n sommore n Eddie Griffin lakini hawa wabongo Ni zero kabisa.
Afadhali akina Churchill wako poa
Mpoki ndio Mtu angeiweza stand up vizuri bongo. Yuko creative
 
Umesema vizuri sana, hawa comedians wetu hawaoni aibu kuirudia sms ambayo imetrend whatsapp na kuifanya kua kichekesho chao.

Wanashindwa kufanya observational comedy kwa kuiongelea mada au kitu fulani wakatia na ujinga humo watu wacheke.

Naona tuconclude kua hata kipaji cha ujinga hawana, Faiza Foxy awaoneshe hawa shule za kusomea ujinga.
Na kweli nshamsikia Mc Pilipili anasimulia vile vichekesho vya whatsup tena vya tangu 2013...yeye 2016 anahadithia afu anatarajia watu wacheke sana! Wengi waliocheka walionekana wanacheka ili kumtia moyo tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri sana wa hawa wasanii wetu wa stand up comedy kwa mda mrefu lakini bado naona mambo si mazuri tofauti na kwa wenzetu wa Kenya. Mc PiliPili naona akijitutumua lakini sanaa yake bado holaa, kakosa ubunifu wa kutosha na kusababisha kuishia tu kwenye Maharusi.
Me nahisi imefika wakati ajifunze kwa wenzake akina Eric Omondi, Prof. Hamo Kansiime anne, Mc jessey na wengine wengi ili alete vitu vizuri. Lakini kingine akubali kuwa na management yenye watu wanaoweza kumsaidia kuwa mbunifu zaidi kwenye Sanaa ya uchekeshaji.
Yule mc pilipili hamna kitu kabisa
 
awe anaangalia wenzie akina trevor noah, chris rock na russel peters... ajifunze vitu vipya
 
Mc Jessy anajua sana.

Bila kusahau Erick Omondi.. kapeleka Standuo comedy kwa level tofauti, kifupi The Churchil show ipo vizuri

Kibongo bongo kwakweli.. standup comedians wachache mno.. walianza lile kundi la Bukuku sijui wakaishia wapi masikini!
 
Uganda, kenya comedian wao wote nawafatlia sana hata huyo salvador namfatlia sana ila kwa Eric naona bdo...............................................


Well naamini kuna mambo tunaruhusiwa kukubaliana kutokukubaliana!

Kwa hili naomba iwe hiyo!

Mimi huwezi niwekea show ya Eric na ya -say-Salvador halafu niende ya Eric!!!

Ila ni mtazamo and it is what brings harmony!
 
Mi Bora niendelee kuwa angalia akina Kat William, criss rock n sommore n Eddie Griffin lakini hawa wabongo Ni zero kabisa.
Afadhali akina Churchill wako poa
Mpoki ndio Mtu angeiweza stand up vizuri bongo. Yuko creative
Usimsahau na late Bernie Mac alikuwa vzuri sana miaka 13 iliyopita. Apumzike kwa amani
 
Nimekuwa mfatiliaji mzuri sana wa hawa wasanii wetu wa stand up comedy kwa mda mrefu lakini bado naona mambo si mazuri tofauti na kwa wenzetu wa Kenya. Mc PiliPili naona akijitutumua lakini sanaa yake bado holaa, kakosa ubunifu wa kutosha na kusababisha kuishia tu kwenye Maharusi.
Me nahisi imefika wakati ajifunze kwa wenzake akina Eric Omondi, Prof. Hamo Kansiime anne, Mc jessey na wengine wengi ili alete vitu vizuri. Lakini kingine akubali kuwa na management yenye watu wanaoweza kumsaidia kuwa mbunifu zaidi kwenye Sanaa ya uchekeshaji.

daaah.....
 
Back
Top Bottom