MC Pilipili umechemsha sana harusi ya Julius B. Liwenga leo

MC Pilipili umechemsha sana harusi ya Julius B. Liwenga leo

Joined
Apr 5, 2023
Posts
49
Reaction score
110
pilipili1.jpg

Mapungufu ndio haya;
  • Kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hadi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je, vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • Kwanini ulazimisha kuchekesha mbele ya hadhira ambayo haicheki? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye kuwa MC na kwenye comedy.
 
Back
Top Bottom