MC Pilipili umechemsha sana harusi ya Julius B. Liwenga leo

MC Pilipili umechemsha sana harusi ya Julius B. Liwenga leo

JamiiForums huu uzi sio wa kuharibu biashara ya mtu, ila ni angalizo la kirafiki ili aboreshe huduma zake.

Msiufute huu uzi hadi mjiridhishe kwamba mmemfikishia ujumbe wake eidha kwa simu ama lah.
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
NB:- uzi huu si wa kuharibu biashara ya mtu. JamiiForums, mpeni ujumbe wake kisha uzi ufutwe. Hapa hamna conflict of interest
Kwako umetoka kauzu banda?
 
JamiiForums huu uzi sio wa kuharibu biashara ya mtu, ila ni angalizo la kirafiki ili aboreshe huduma zake.

Msiufute huu uzi hadi mjiridhishe kwamba mmemfikishia ujumbe wake eidha kwa simu ama lah.
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
NB:- uzi huu si wa kuharibu biashara ya mtu. JamiiForums, mpeni ujumbe wake kisha uzi ufutwe. Hapa hamna conflict of interest
Unafuta Uzi wa nini?
Acha ubaki daima.
 
JamiiForums huu uzi sio wa kuharibu biashara ya mtu, ila ni angalizo la kirafiki ili aboreshe huduma zake.

Msiufute huu uzi hadi mjiridhishe kwamba mmemfikishia ujumbe wake eidha kwa simu ama lah.
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
NB:- uzi huu si wa kuharibu biashara ya mtu. JamiiForums, mpeni ujumbe wake kisha uzi ufutwe. Hapa hamna conflict of interest
Kweli njaa mbaya umeanzisha Hadi uzi
 
JamiiForums huu uzi sio wa kuharibu biashara ya mtu, ila ni angalizo la kirafiki ili aboreshe huduma zake.

Msiufute huu uzi hadi mjiridhishe kwamba mmemfikishia ujumbe wake eidha kwa simu ama lah.
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
NB:- uzi huu si wa kuharibu biashara ya mtu. JamiiForums, mpeni ujumbe wake kisha uzi ufutwe. Hapa hamna conflict of interest
Henda kuna kundi limenufaika naye
 
KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
Bro punguza basi punguza Jazba usije ukatuletea msiba mwingine hawakawii kwenda kutafuta majengo marefu na kwenda kujirusha kwa cyber bullying km hizi punguza munkari kwanini hukumuita Chemba hapo hapo squad ukamtis za chembe kidevu kua amekuzingua wewe unaogopa kiasi Cha kuja kuandika huku nna mashaka na jinsia yako, we ni me au ke ?!
 
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.

Mc pilipili ajikite zaidi kwenye Umc kama kuchekesha basi aombe materials kwa wachekeshaji wengine na atumie ,kipaji cha uchekeshaji hana, utunzi umefikia mwisho.
 
  • Mapungufu ndio haya, kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hafi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • KWANINI UNALAZIMISHA KUCHEKESHA MBELE YA HADHIRA AMBAYO HAICHEKI? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye mciing na kwenye comedy.
Njaa mbaya sana, ndio maana bandari zimeuzwa🤣🤣🤣🤣

Laana zote kisa njaa
 
Suala La Muhimu Mmechelewa Kula Michango Yenu Inawatesa Sana
 

Mapungufu ndio haya;
  • Kwanza hajatambulisha vyoo vilipo.
  • Hadi sasa saa sita kasoro dakika 13 hatujala.
  • Muziki mbovu balaa, baadhi ya spika hazipigi, hamna sound balancing, sauti yako hatuisikii kabisa.
  • Viwango vyako vya muziki umevipima? Je, vinakidhi matakwa ya NEMC?
  • Kwanini ulazimisha kuchekesha mbele ya hadhira ambayo haicheki? Comedy na ushereheshaji ni vitu viwili tofauti. Umefeli kote, kwenye kuwa MC na kwenye comedy.
Kwanza mgogo na kuchekesha wapi na wapi, mgogo lake zeze na malimba Kama kina zawose wa bagamoyo, kachezea kazi yake ya ualimu kiboya tu, mwenzie galab super brand kazi yake hakuacha anapiga kotekote.
 
Back
Top Bottom