MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
Mwache abaki huko huko kusiko na stress, uticha ni shida tu, kupanda madaraja hakuna, hayo mafao ya PSPF ukistaafu unafatilia hadi soli ya viatu inaisha.Tanzania stand up comedy MPOKI tu wengine hakuna kitu kama huyo piliSQUARE bora angeendeleza uticha tu angepata hata mafao mauzuri PSPF
Na TV za Ghana zime copy kile kipindi USANa TV za kenya zina copy katika TV moja ya Ghana
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] tena!!!Na TV za Ghana zime copy kile kipindi USA
Kuchekesha kazi sana..halafu ukiuliza bei za viingilio unaweza ukalia,it's not worth it kabisa.Huyo kijana pilipili na mwenzake yule mchumba wa wema Huwa wanafosi kufanya comedy sema kipaji ndo hawana hayo mambo wamwachie mpoki na joti ndo wanayaweza!
Na USA wamekopi toka Brazil[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] tena!!!
Usa wamecopy UkNa TV za Ghana zime copy kile kipindi USA
Nasikia USA wamekopi RussiaNa TV za Ghana zime copy kile kipindi USA