Kina Prof. Hammo,Jemutai,Omondi wapo creative sana.
By the way Mc nae ndo amepata pa kuingizia siku,we sema sana mitandaoni lakn yeye anaingiza siku.kopi wewe kama utatoka
umaarufu kidogo alioupata unamsahaulisha kua "comedy designer" badala yake "dstv" ndo imekua designer wake....mb.uzi kabisa
kuna stand up comedy moja iko kenya inatwa "churchill show" pale kuna comedy ma hardworker toka waanze kunichekesha sijawahi kuona "marudio"