Mc Pilipili utanisamehee kwa ukweli huu "huna kipaji cha kuchekesha"

hahaaa " ati ukitaka uhakika muulize mbu
 
Nimemuona Mara kadhaa harusini anarudia mambo yaleyale sanasana kuwaponda watu waliokuja na magari aina ya bits!
 
Mkuu huyo Mc pilipili kakuchukulia demu wako nini mbona unamsakama hivyo. Kama mtu huoni kipaji chake mpuuze fanya mambo yako mkuu. Sio lazima uwe fan wake. Jifunze kupotezea, jipangie kazi nyingine za kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…