MC pilipili×3

Kwaiyo uyo hansi alikua anamla dem wa mc,inaonekana bado wanakulana hawa
 
Huyo ndo alikuwa nae kabla yamc pilipili
Sahiv wameachana sa cjuiyasilin
 
But katika watu waliodumu na mena ni Heryman
Almost 4years
 
Desturi ya wanaume wa kigogo ni uvumilivu na ushamba wa kimapenzi, pia wanapenda sana wanawake walioshindikana. Unaweza kukuta changu aliyeshindikana kama hawa mademu wa bongo muvi na hakuna mwanamme yeyote anayemtaka hata kama ni wa bure ila akija nduguye Yanga SC (mgogo) anaiingia kichwa kichwa na kutoa mahali milioni 8 huku akilia kwanini kapata demu aliyeshindikana.
 
ikawaje wakaachana?au alikua bahili?jamaa anafanya kaz wap?

Jamaa alikuwa anamzingua sana dem
Alikuwa na vischana vinginevingine(hii normal kwetu wanaume)
 
Watani zangu wagogo ni washamba kuliko at sisi yaani kweli mcpilipilimbuzi ni wakupiga goti nakulilia mbuchi wakati zimejaa kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa inafungwa hiyo acheni mambo ya kichawi chawi, huyo MC anajua kilicho mnasisha kwa demu😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…