Habari ya kusikitisha kwetu wapenzi wa twanga pepeta, mpiga tumba maarufu wa band yetu mcd amefariki huko moshi kwa maradhi ya kifua kikuu
mungu amlaze mahala pema peponi
MCD pumzika kwa amani,kazi zako ni nzuri sana,tutaendelea kukuenz kwa kufurahia kazi zako,kwangu mimi hakuna mpiga tumba Tanzania hii zaidi ya wewe.RIP