Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini mnaogopa kusema ni..ngoma tu..eti muda mrefu...madai yao tafsida....ni ugonjwa wa kawaida saanaaa msiogope
Hivi kwanini mnaogopa kusema ni..ngoma tu..eti muda mrefu...madai yao tafsida....ni ugonjwa wa kawaida saanaaa msiogope
Kama kuna mdau ana access na wimbo unaoitwa "KUOLEWA" ametunga Luiza Mbutu upo kwenye albam yao inayoitwa FAINALI UZEENI, aisee MCD kapiga tumba ya hatari sana humo. Kuna sehemu Ally Choki anamtaja MCD then vyombo vyote vinasimamishwa inasikika tumba ya MCD tu
Wewe umepima lakini?
Hii tabia ndo inafanya ukimwi uonekane ugonjwa wa aibu..
Hivi kwanini mnaogopa kusema ni..ngoma tu..eti muda mrefu...madai yao tafsida....ni ugonjwa wa kawaida saanaaa msiogope
Kapime kwanza then scan majibu utuwekee hapa
Ntakutumia kwa pm usijali....
Nilitaka kuandika kama wewe vile! Asante kwa kutukumbusha. Jamaa MCD tutammis sana kama tunavyommis Baba Diana, Baba Zaituni, Baba Sharifa (Abuu Semhando).