Akiona mosfrank umeandika hapa atakutukana. Mimi kanitukana hapo chini asijue mimi ninamfahamu sana MCD na kuwa ugonjwa wake ulimtesa sana. Yaani amenitukana sana na sikuchelewa kumjibu. Ukweli tunatakiwa tuseme mkuu Vitaimana bila hovyo ni unafiki tu mkuu wangu.