Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mwanamasumbwi Conor MCGregor ametamba kwamba lazima amchakaze Mayweather kwa namna yoyote ile ,Conor alienda mbali zaidi kwa kudai kuwa labda afie uwanjani ndo ushindi pekee atakao upata mayweather lakini kinyume na hapo lazima amtandike Floyd tena hamtandiki kwa Point bali kwa Knockout
Conor amedai kuwa ameangalia mapambano mengi ya Floyd na amegundua udhaifu wake upo sehemu gani hivyo basi yeye na kocha wake wanafanya training za kutosha za kwenye huo udhaifu wa Floyd ili amdondoshe mapema zaidi
Conor kwa kuonesha yupo makini kwa kiasi gani ameamua mpaka kuiba mbinu za Jeff Hornet ili kundhibiti Floyd mayweather na kuandika historia mpya kwenye ndondi .
Kwa upande wa Floyd alipoulizwa kuhusu tambo hizo akasema kuwa Conor uwezo wa kushinda hilo pambani ni mkubwa kwa sababu yeye (Floyd) umri umeshamtupa mkono na kasi pamoja na accuracy yake ya kurusha ngumi imepungua kwa kiasi kikubwa kulinganisha na miaka 10 mpaka 20 iliyopita
Conor amedai kuwa ameangalia mapambano mengi ya Floyd na amegundua udhaifu wake upo sehemu gani hivyo basi yeye na kocha wake wanafanya training za kutosha za kwenye huo udhaifu wa Floyd ili amdondoshe mapema zaidi
Conor kwa kuonesha yupo makini kwa kiasi gani ameamua mpaka kuiba mbinu za Jeff Hornet ili kundhibiti Floyd mayweather na kuandika historia mpya kwenye ndondi .
Kwa upande wa Floyd alipoulizwa kuhusu tambo hizo akasema kuwa Conor uwezo wa kushinda hilo pambani ni mkubwa kwa sababu yeye (Floyd) umri umeshamtupa mkono na kasi pamoja na accuracy yake ya kurusha ngumi imepungua kwa kiasi kikubwa kulinganisha na miaka 10 mpaka 20 iliyopita