Unasali hilo kanisa??
Kma unaaabudu hapo ondoka haraka, unajua kusema sema issue za makanisani mara nyingi ni ujinga wa waamini!
CCM itusumbue mpaka wachungaji wenu wawasumbue jamani?? huna amani na hilo kanisa ONDOKA haraka nennda kwingine, kila unapoenda unaona hauridhiki, anzisha la KWAKO!! ndio uhuru huo
I know all dirties of mama Rwakatare both as born again believer and as Apologetist , I know almost all dirties of all these so called Televengalist!!
The root of the problem is TITHING!! fungu la kumi limechakachua sana kanisa kuliko maelezo! na ukisoma kwa makini hamna hicho kitu kinachoitwa fungu la kumi kwa wakristo -Agano Jipya, lipo kabla ya kristo!!! we can urgue this day an night
Find article, Should church teach tithing??
Leo ukitoa fungu la kumi wachungaji utakaowapata ni wale wa UKWELI tu