Mch. Getrude Rwakatare anatajwa anatajwa kumuchukua binti musukule

Mch. Getrude Rwakatare anatajwa anatajwa kumuchukua binti musukule

Mch chegele kutoka mikocheni b naye amekimbia kanisanai hapo akidai kuwa mama rwakatare alitaka kumuroga!!!!
 
Wachungaji hawa ni wakala wa ccm na muda wote ccm inawatumia kuhadaa upinzani.!!!
Mama rwakatare ni mchungaji pekee aliye toa kauli kuwa kikwete ni chaguo la mungu mwaka huu na kapita kwa kishindo !!!
Kwa hakika yeye anachanganya siasa , biashara na dini!!
Yeye alikuwa mdau mkubwa wa deci na sasa ni mdau mkubwa wa forever living pamoja na kamali zingine!!!
 
Mi nilijua tangu siku nyingi sn kuwa huyu mama ni mfuasi wa FREEMASONS(wajenzi huru). Sishangai!!!
 
Mama rwakatare anachanganya siasa,dini na biashara kinyume na sera ya baba wa taifa .baada ya uchaguzi alisema kikwete chaguo la mungu!!!
 
Jamani ebu acheni kum dhihaki mtumishi wa MUNGU. Hayo mnayoyasema hayana uthibitisho wowote ndio maana ata hilo gazeti halijaweka mambo hadharani. Kama ni kweli mtumishi huyo wa mungu anajihusisha na mambo hayo adhabu yake ataipata siku ya mwisho kwa sasa tumuache aendelee na kaazi yake ya kichungaji.
 
Mchungaji chegele kamukimbia rwakatare kwa tuhuma za uchawi!!!
 
Hatuwezi kufanya chochote kwa mama rwakatare lakini mabaya yakitokea tunaanika ili apate kutubu !!!
 
Unasali hilo kanisa??

Kma unaaabudu hapo ondoka haraka, unajua kusema sema issue za makanisani mara nyingi ni ujinga wa waamini!


CCM itusumbue mpaka wachungaji wenu wawasumbue jamani?? huna amani na hilo kanisa ONDOKA haraka nennda kwingine, kila unapoenda unaona hauridhiki, anzisha la KWAKO!! ndio uhuru huo

I know all dirties of mama Rwakatare both as born again believer and as Apologetist , I know almost all dirties of all these so called Televengalist!!

The root of the problem is TITHING!! fungu la kumi limechakachua sana kanisa kuliko maelezo! na ukisoma kwa makini hamna hicho kitu kinachoitwa fungu la kumi kwa wakristo -Agano Jipya, lipo kabla ya kristo!!! we can urgue this day an night

Find article, Should church teach tithing??

Leo ukitoa fungu la kumi wachungaji utakaowapata ni wale wa UKWELI tu

Fungu la kumi lipo kwa Wakristo, soma tena vizuri Biblia, ILA sio kama linavyofundishwa na hawa 'wachungaji' wa siku hizi. Kutoa Zaka ni moja ya tabia za Watu wa Mungu, . Ila hawa 'wachungaji' do misinterprit the whole doctrine, na kwasababu sisi wafwasi wao hatusomi maandiko, hatuelewi!
 
Kama ni kweli basi iyo ni mechi kati ya mama rwakatare vs shingongo. Naona mpambano haujafika dk 90!!
 
Halo hiyo source haiaminiki kabisa "KIU" kama si unafiki au majungu
 
ukiacha yote hayo, ni mchawi sana na mpenzi wa Ngono film, na hana bwana, kazi yake kutembea na yoyote, ni malaya mkuu
 
Baadhi ya walimu wake wanashuhudia ni mshirikina kinoma anazikaga mavitu kwenye mashule yake.
 
Biblia Takatifu inasema Mwanamke hatosimama madhabauni kumtolea Mungu kafara na sadaka. Qu'ran Tatakitifu pia imenena mwanamke hatopewa mamlaka ya kumwongoza mwanamme. Je Rwakatare ni mfuasi wa dini ipi hapo juu? Ni kitabu gani kitakatifu kimenena kwa Mtume au Nabii wa kike??? Kwa wakristo ,ni wapi Bikra Maria alioneka anaongoza ibada? Au hamsomi wala hamuelewi? Au labda wafuasi wa uyu mama wanafuata mapokeo ya dini gani?? Hapa napata hisia kuwa miaka ijayo kama 1000,mganga wa jadi anaweza akawa na kanisa au msikiti wenye wafuasi wengi,kwa kuwa wanaoongozwa hawajui watokako wala waendako. Nawatakia imani njema.
 
nyie inawezekana mtu anahubiri neno la mungu halafu afanye hivyo?mimi siamini
 
Back
Top Bottom