Mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima mch joeseph gwajima amesema katika mchakato wa katiba mpya inayokuja serekali tatu haziepukiki
gwajima aliyasema hayo juzi jpili wakati wa ibada
gwajima alisema anamshauri rais jk kutokubali maoni ya washauri wake wasiona mbali,
alitoa mfano kwamba kama zanzabar inasekali yake na mambo yao vipi sasa tanganyika haina serekali?
Alisema zanzbar tuwaache na mafuta yao na sisi tujifunie gesi yetu
alisema kama serekali inaliogopa jina tanganyika kutokana na asiliyake ni tanga bazi watafte namna nyingine yakujiita alimradi tu ipatikane serekali tatu.
gwajima aliyasema hayo juzi jpili wakati wa ibada
gwajima alisema anamshauri rais jk kutokubali maoni ya washauri wake wasiona mbali,
alitoa mfano kwamba kama zanzabar inasekali yake na mambo yao vipi sasa tanganyika haina serekali?
Alisema zanzbar tuwaache na mafuta yao na sisi tujifunie gesi yetu
alisema kama serekali inaliogopa jina tanganyika kutokana na asiliyake ni tanga bazi watafte namna nyingine yakujiita alimradi tu ipatikane serekali tatu.