Mch Gwajima: Serikali imekataa kuwatambua Pentecoste Bunge la Katiba;

halafu nini kitatokea? katiba iliyopo inaendelea, as simple as that



Ushawishi unaendelezwa mpaka kwenye upigaji wa Kura uchaguzi mkuu wa 2015 ili KUIKATAA SERIKALI YA CCM ILIYOPUUZIA KUNDI KUBWA KAMA HILI.
 
wengine wanapokula chakula hukaa vidoleni?



Gwajima ni mchumia tumbo kivipi??? Mtu anayeweza kutoa kiasi cha kumpatia mwingine gari jipya unathubutu kumwita mchumia tumbo!!!

Wakati wewe hata kutoa ka-Baiskeli ni TATIZO KUBWA la Karne.
 
Binafsi nahisi baba yetu wa kiroho hayuko sahihi..mana dini ni nyingi na ndani ya hizo dini imani ni tofauti..kwanin asiwakilishe hayo maon yao ktk hyo taass ambayo serikal inaitamabua..vp na wale ambao hawaamin ktk bakwata nao wainuke kudai serkal haijawajal?
 

Wewe ni mwongo, huyo siyo baba yako wa kiroho. Acha cheap propaganda. Watanzania wa leo siyo wa miaka hiyo!!!
 
Hapa sio kwetu tuiangalie katiba ya mbingun ambayo tangu kuumbwa kwa mwanadam haijawahi badilika
 
Hapa sio kwetu tuiangalie katiba ya mbingun ambayo tangu kuumbwa kwa mwanadam haijawahi badilika

Siku hizi hakuna ulokole wa kijinga wa kihivyo, walokole wa sasa wa Tanzania wameamka baada ya kupata elimu ya uraia, cheap propaganda kama hizi haziwezi kuwabadilisha. Keki ya Tanzania lazima iliwe na Watanzania wote.
 
Gwajima ni mchumia tumbo kivipi??? Mtu anayeweza kutoa kiasi cha kumpatia mwingine gari jipya unathubutu kumwita mchumia tumbo!!!

Wakati wewe hata kutoa ka-Baiskeli ni TATIZO KUBWA la Karne.

mwulize aliyedai ni mchumia tumbo...unaniuliza mimi niliyeuliza swali wewe vipi?
 
Ni makosa ya uandishi am so sorry kwa usumbufu ulokupata.
 
Baba yako wa kiroho huwezi kumdharau kiasi hichi vinginevyo roho unayoingolea ni ya yule wa upande wa pili.
Unathitisha kuwa unapotosha umma na jamii ambayo kwa sasa ina elimu ya kutosha.
Mheshi baba yako ili jamii nayo ipate kukuheshimu wewe
 
huyu jamaa mzima kweli.....kama anataka kila dhehebu liwe na ushiriki bunge lote si litajaa maaskofu.....
 
Baba yako wa kiroho huwezi kumdharau kiasi hichi vinginevyo roho unayoingolea ni ya yule wa upande wa pili.
Unathitisha kuwa unapotosha umma na jamii ambayo kwa sasa ina elimu ya kutosha.
Mheshi baba yako ili jamii nayo ipate kukuheshimu wewe
Sioni ubaya katika hoja aliyoitoa mchangiaji kiasi cha kumweka katika kundi la wasioheshimu baba zao wa kiroho. Unless useme kuwa baba wa kiroho hawapaswi kushauriwa!.
 
umesahau:
ngurumo ya upako;
HAYA NI MAKANISA YA MJINI NA FOUNDERS WAO WANAISHI MJINI. IE MIKOCHENI, MBEZI BEACH, MATEMBELE UKONGA, TEGETA, TABATA, TANGANYIKA PARKERS(PEKAS) KAWE, SAKINA ARUSHA, RIVERSIDE UBUNGO, WAKIKOSEKANA MAKANISA HUFUNGWA. HAWA WAKO KIBIASHARA ZAIDI. FOUNDERS WENYEWE HAWAELEWANI.
 
Tuacheni jazba na ushabiki bila kutafakari kwa makini hoja ya Gwajima. Gwajima halalamikii kanisa lake kuachwa kwenye uwakilishi ila anachohoji ni kwa nini kundi la wapentekoste limeachwa. Wapentekoste katika nchi hii ni wengi sana na hawako mijini tu kama wengine wanavyodhani. Mfano makanisa la EAGT na TAG yameenea sana vijijni. Kuwaacha hawa wote bila mwakilishi sio haki
 
JFwatu kujitia hamnazo akili hawajambo sana, na sio tena GT - Kinacholalamikiwa sio kuachwa dhehebu - ni kuachwa UMOJA WA MADHEHEBU HAYO ambao ni kundi kubwa kabisa la Watanzania mijini na vijijini. Yamechukuliwa makundi madogomadogo Bungeni itakuwa kundi kama hili?
Kwa jina la Yesu,tutaongozwa tu na Mungu katika hili!
 
PCT siyo dhehebu, ni umoja wa madhehebu mengi ya Kipentekoste.

pia ifahamike kuwa sheria inasema kila tasisi za dini ziwe na uwakilishi wao sasa tasisi zote zimechaguliwa isipokuwa PCT
 
Ukiona mtu analilia atambulike naye yupo kwenye sherehe jua iko maneno. Wameonekana wako kibiashara zaidi labda, who knows?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…