Mchungaji joseph gwajima amechukizwa na kitendo cha serikali kutowatambua makanisa ya pentecoste mchini katka bunge la katiba,
mchungaji huyo amesema kuna makundi ya dini kama tec,likiwakilisha katoliki:
kuna bakwata likiwakilisha waislam:
lakini kundi la pct halikutambulika pamoja nakwamba linasimamia watu ml 11 hapa nchini,
amesema tayari wamemwandikia barua rais jakaya kikwete wakitaka waelezwe nikwanini wameachwa:
kama hatutashiriki kuunda katba inamaana sisi sii watanzania.
mchungaji huyo amesema kuna makundi ya dini kama tec,likiwakilisha katoliki:
kuna bakwata likiwakilisha waislam:
lakini kundi la pct halikutambulika pamoja nakwamba linasimamia watu ml 11 hapa nchini,
amesema tayari wamemwandikia barua rais jakaya kikwete wakitaka waelezwe nikwanini wameachwa:
kama hatutashiriki kuunda katba inamaana sisi sii watanzania.