Mch Lusekelo ya kaiskari mpe kaiskari na ya Mungu Mungu mpe Mungu. Tozo na kodi ziwe halali kulingana na kanuni. Dunia nzima hakuna double taxation

Kesho nakwenda kusali kwake,nitamsikiliza vizuri lazima atalizungumzia, tozo ni unyonyaji
 
Nchi ya vichaa hii. Ngoja niende ZANGU Zambia
 

Attachments

  • 20220421_174939.jpg
    34.8 KB · Views: 3
Sadaka itozwe kodi na tozo. Hapa ndiyo utasikia makelele ya huyu m-KVANT.
 
ipo siku tz itapata Rais ambae ataweka tozo &kodi kwenye haya makanisa,maana uko serikali inapoteza mapato mengi sana
 
ipo siku tz itapata Rais ambae ataweka tozo &kodi kwenye haya makanisa,maana uko serikali inapoteza mapato mengi sana
Serikali haijielewi hivi pale kwa mwamposa ni kanisa lile maana hawajasajiliwa ibaki kusemwa ni biashara .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…