Pre GE2025 Mch. Msigwa awaomba msamaha Makamanda wote waliojiunga CCM kabla yake, adai aliwakejeli kwa sababu alikuwa Kipofu!

Pre GE2025 Mch. Msigwa awaomba msamaha Makamanda wote waliojiunga CCM kabla yake, adai aliwakejeli kwa sababu alikuwa Kipofu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
 
Kwani aliporudi CCM Maisha ya wananchi yamebadilika? Ukristo unafedheheshwa na wajinga hasa hawa wachungaji wa matumbo
 
Sasa amejua ukweli wa tofauti wa akili kubwa na ndogo! Kweli kuweka akiba ya maneno ni muhimu.

Pia nikikumbuka kauli za Mnyika Bungeni! Natikisa kichwa. Eti dhaifu, wakati udhaifu wake umesababisha zaid ya wabunge 18 wa Chadema wa kuchaguliwa kushindwa kurudi bungeni... Na kuifanya Chadema Chama dhaifu kupindukia kuliko wakati wote!!!
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Kwani hivi sasa anaona? Naona bado kipofu. Kwanza angaliomba waumini wake aliowapteza alipokuwa mchungaji
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Soma ulichoandika. Heading na maelezo ni kinyume!
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Ni afadhali hapo zamani alipokuwa kipofu kuliko sasa ambapo amekuwa punguani na mnafiki.
 
Kanisa lake lipo wapi huyu Mchungaji kondoo
 
Mods rekebisha heading badala ya CHADEMA isomeke CCM

Sabato njema 🌹
 
Back
Top Bottom