Pre GE2025 Mch. Msigwa awaomba msamaha Makamanda wote waliojiunga CCM kabla yake, adai aliwakejeli kwa sababu alikuwa Kipofu!

Pre GE2025 Mch. Msigwa awaomba msamaha Makamanda wote waliojiunga CCM kabla yake, adai aliwakejeli kwa sababu alikuwa Kipofu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msiba wa kibao alikaa kimya sana, amemaliza matanga karudi mzigoni....comred msigwa
 
Ni lazima aongee ili jina lake libaki kwenye payroll.
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Ajafue vyupi vya wakina mama wa CCM nasikia ndiyo kazi yake mpuuzi mkubwa
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Du ila mambo ya siasa ni kazi ngumu sana 😂😂😂😂 mtu mwenye akili anaweza kugeuka mbumbumbu na mbumbumbu kuonekana ana akili ndani ya dakika 0 tu
 
Kamanda ni jina linalotumika na jeshi. Hivyo jina lina sifa zake. Kiongozi jeshini hawezi kujisalimisha au kununuliwa kirahisi. Lazima kiapo chake akizingatie. Hivyo tulitumie jina kwa heshima yake. Tumieni wanachama au wafuasi. Makamanda anasaliti jeshi wanaitwa washing. Period
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Bado anaendelea na wadhfa wa mchungaji; anaendelea kuendesha ibada kanisani?
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Tunamshukuru sana Mola huyu Msigwa kukombelewa toka kwenye utumwa wa Fikra
 
Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia

Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM

Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao

Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa

Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli

Nawatakia Sabato Njema 😄🌹
Huyu siyo mchungaji, ni MTU wa mshahara.Alipoona mbwa mwitu kawakimbia kondoo.Mbwa mwitu ha pa ni njaa
 
Back
Top Bottom