johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Katikati ya Manispaa ya Iringa πKanisa lake lipo wapi huyu Mchungaji kondoo
Duuuu na usikutee ana wauminii kbs wakutosha na wanamwamini Ile mbayaaaaπ€π€Katikati ya Manispaa ya Iringa π
Waumini kiduchu sana πDuuuu na usikutee ana wauminii kbs wakutosha na wanamwamini Ile mbayaaaaπ€π€
Alisubiri 40 ipite πΌMsiba wa kibao alikaa kimya sana, amemaliza matanga karudi mzigoni....comred msigwa
Ajafue vyupi vya wakina mama wa CCM nasikia ndiyo kazi yake mpuuzi mkubwaMbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia
Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM
Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao
Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa
Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli
Nawatakia Sabato Njema ππΉ
Du ila mambo ya siasa ni kazi ngumu sana ππππ mtu mwenye akili anaweza kugeuka mbumbumbu na mbumbumbu kuonekana ana akili ndani ya dakika 0 tuMbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia
Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM
Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao
Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa
Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli
Nawatakia Sabato Njema ππΉ
Bado anaendelea na wadhfa wa mchungaji; anaendelea kuendesha ibada kanisani?Mbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia
Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM
Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao
Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa
Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli
Nawatakia Sabato Njema ππΉ
Tunamshukuru sana Mola huyu Msigwa kukombelewa toka kwenye utumwa wa FikraMbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia
Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM
Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao
Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa
Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli
Nawatakia Sabato Njema ππΉ
Huyu siyo mchungaji, ni MTU wa mshahara.Alipoona mbwa mwitu kawakimbia kondoo.Mbwa mwitu ha pa ni njaaMbunge wa zamani wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amewaomba msamaha Wanachama wa chadema waliojiunga CCM kabla yake PAMOJA na wale COVID-19 kwa masimango yote aliyowafanyia
Mchungaji Msigwa amesema ukiwa Chadema macho hupofushwa Ili usiyaone mazuri yote ya CCM
Mchungaji Msigwa amekiri kupata Ukombozi mpya maishani na wakati wowote kuanzia sasa ataelekea kaburini Chato kuweka Maua ya ushuhuda na kusaini Kitabu cha watakatifu wote kwenye ile Sikukuu yao
Msigwa yuko ziarani Kanda ya Ziwa
Ikumbukwe mchungaji Msigwa alipokuwa Kipofu alitaka kumpiga DC Richard Kasesela pale Uwanja wa Ndege Nduli
Nawatakia Sabato Njema ππΉ