Mch. Msigwa: Tumefika kikomo kuvumilia yanayofanywa na CCM

Mch. Msigwa: Tumefika kikomo kuvumilia yanayofanywa na CCM

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
 
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV leo
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.
 
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.
Kipumbavu sana!! Wamepewa uhuru wa kuandamana ndo wamepotea kabisa!!

Mwamba alifanya kazi kubwa na alipowabana ndo wao wakapata umaarufu!! Sasa Kila kitu kimepaa na maisha ni magumu lakini hatuoni hao upinzani wamefanya nini.

Nadiriki kusema Samia na kundi la Mbowe ndo wameifikisha nchi pabaya mno
 
Aache sarakasi zake, huyu na wenzake wengi wanangojea kurejea bungeni 2025. Hizi nyingine ni zuga tu.
 
Kipumbavu sana!! Wamepewa uhuru wa kuandamana ndo wamepotea kabisa!!

Mwamba alifanya kazi kubwa na alipowabana ndo wao wakapata umaarufu!! Sasa Kila kitu kimepaa na maisha ni magumu lakini hatuoni hao upinzani wamefanya nini.

Nadiriki kusema Samia na kundi la Mbowe ndo wameifikisha nchi pabaya mno
Ulitaka wafanye nini wakati mamlaka inatoka kwa wananchi?
 
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
Mlishaambiwa muende Burundi, hakusikia?
 
Kwanini tuendelee kuvumilia kukaa gizani chai bila sukari wakati waliotufikisha hapo ni CCM?? Lazima tufanye jambo.
 
Tatizo CHADEMA imeshindwa kutuonyesha Watanzania itaenda kufanya nini tofauti na CCM.

Mfano miwili midogo kati ya mengi

Wana CCM wanajenga hekalu zao, CHADEMA wanashindana, nao wameenda kujenga mahekalu.

CCM wanatembea na V8, CHADEMA wanatembea na Helikopta.

Bora niwachague CCM kwa sababu ni wao waliowezesha majeshi yetu ya Usalama kuendeleza amani wakati CHADEMA na vyama vingine wakitengeneza siasa za Uhasama, Chuki, Visasi na Vinyongo kwa sababu binafsi.

Mazingira waliyoyatengeneza hawa majamaa yalikuwa yanahatarisha Amani, sasa wameanza tena. mwishowe waanze kujiteka na kuingia kwenye siasa za ugaidi.
 
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
akiacha kubeti ataaminika zaid 🐒
 
"Huwezi badilisha kile unachovumilia, tumekuwa tukivumilia shida zilizosababishwa na CCM, imefika wakati sasa wa kuacha kuvumilia shida na kuifanya kama sehemu ya maisha yetu, hatuna sababu ya kuvumilia shida kwa sababu mamlaka inatoka kwetu hizi na kudai mabadiliko, wananchi tuache kuvumilia hizi shida na tushirikiane kwa pamoja kulisema hili na tuhakikishe tunafikisha ujumbe kwa watawala na mwaka 2025 tuwatoe madarakani" -Msigwa

Mch. Peter Msigwa amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Jambo TV.
Atutolee ujinga wake hapa
 
Huyu ndo bure kabisa, alipopatukana rais wa kweli enzi zile kufanya mageuzi makubwa ya kiuchumi na utendaji haka kajamaa kakaendelea kumsagia kunguni.

Kapuuzwe.
Jamaa anajifanya anauelewa mkubwa kumbe bure kabisa kanajifanya kana msimamo kumbe hakuna kitu kipindi kamepekekwa gereza la segerea kalikataa kutoka kumbe ndani ya CCM ambayo ilikuwa inahujumu serikali ikakaambia kasitoke na kenyewe ka ka kataa kutoka kapuuzi makubwa kajamaa hako
 
Back
Top Bottom